Leo nimekaa nimewaza na kuwazua wewe umeoa au umeolewa lakini michepuko kwako haikatizi ukitoa vijisababu viiingi mradi tu kujustify kwa nini una michepuko.
Hivi unajisikiaje unaporudi nyumbani umetoka kwenye mchepuko wako
Unafika nyumbani mme au mkeo anahitaji na yeye kupata haki yake...
nimesema mme wangu ana mwaka na nusu sasa kazi iliisha
sijasema ndoa ina mwaka na nusu
Siwezi kumnyanyasa na yeye anajua hanyanyasiki hata kidogo
sema ni hivyo vimatendo vyake ndio vinanikera
Sijawahi kuwaza kwa vile hana kazi kwani najua hii kitu inaweza kumtokea mtu yoyote,
Ninachojiuliza hapa hata Kutengeneza Chai yako mwenyewe ni ngumu?
Mbali na hapo huoni mwenzio ananyonyesha mtoto anasumbua ,mama hulali hata kusema mke wangu ngoja nimsaidie hata kutandika kitanda?
ama mtoto...
Hivi nyie wanaume kweli hauwezi kufika kipindi uone mkeo kazidiwa na wewe upo hata kumsaidia tu kuweka chai kwenye Kikombe ni ngumu?
Hata kufua nguo zako za ndani ni kazi??
Mie sijasema aje kuosha vyombo no..basi wakati mie nadeki na kupika kuna ugumu wa kufua Boxer zako mwenyewe?
Kutoa net...
Last week nilikuwa naosha Vyombo ,akaniita mama F naomba unitengenezee coffee akiwa ameshika remote anaangalia TV
Nikamwambia naosha vyombo my dear ila kila kitu kipo mezani please nisaidie kutengeneza wala hakunyanyua mguu anasubiri nikatengeneze ,na hapo mtoto nimeweka mgongoni wangu...
Hivi Ladies kuolewa maana yake ni nini?
Mimi kuna vijambo vinanichosha mpaka imekuwa kero na kuona kama ndoa ni ngumu. Ni takribani mwaka mmoja na nusu sasa mme wangu kazi iliisha yupo nyumbani huku akiangaika kutafuta kazi sehemu zingine .
Hiyo sio big deal mie nafanya kazi thanks God...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.