Habari wakuu,
Kwenye picha iliyonaswa katika utambulisho wa Khalid Aucho back ground kuna kombe linaonekana lina nembo ya GSM. Ningependa kujua hili ni kombe gani na walishinda lini au kule kaunda kuna ligi ilipigwa?
Wakuu kama heading inavyoeleza, haina haja ya kubaki na kamba wakati ng'ombe kachinjwa
Used moderm
Inasoma line zote
Bei Tzs 30,000/=
Brand HUAWEI
Popote nakuletea kwa Dar es salaam.
Habari Wakuu..
Nataka wale ambao waliopuuzia maonyo ya wazazi alafu yakawakuta ya kuwakuta watoe ushahidi. Hii nimeshuhudia kwa mdogo wangu kiasi inaniogopesha na mimi.
Ipo hivi, mdogo wangu wa kiume wa mwisho 20 years uhuni na usela mwingi so ana misala misala mingi na moja kati ya vitu...
Habari Wakuu,
Baada ya ban ya mifuko ya plastic, wajasiriamali wengi walichangamkia fursa ya mifuko mbadala. But mimi kama mjasiriamali pia kuna gap nililiona, kwa sababu mifuko ya plastic ilikuwa multipurpose kuanzia kubebea bidhaa, kuwashia moto uswahilini na baadhi ya abiria kutapikia au...
Ebhana niaje wanaJF. . . !
Naandika thread hii special kwa ajili ya kutambua mchango wa watu fulani hivi ambao wanafanya vitu vizuri kwa jamii but kama hatuwapi heshima au sifa zao stahiki kama tufanyavyo kwa watu wengine kama walimu, nk. Hawa kwangu nawaita Unsung heroes.
Mimi nianze na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.