Nilikuwa nasomea Science kwa kombi ya PGM, but wizara imenipanga kwa kombi ya HGL. naombeni kujua ni kazi nzuri gani zinazopatikana kwenye hiyo kombi coz sikuwahi kufikiria ni mtu wa aina gani unakuwa kwa kuchukua hiyo kombi.
KWA WATU WA ARUSHA
Plz nisaidieni,kuna m2 ambaye anakitabu cha fundamentals of physics ambaye angetaka kuniuzia au labda kuna ambaye anajua sehemu kinapatikana anitaarifu,please nakihitaji.
Ninachukua combination ya PGM, na pass marks zake nilipata ni DCD na mimi nataka kubadilisha coz wamenipangia HGL kwa pass mark ya CCB, nimetuma maombi ya kubadilisha comby mkoani na sasa hivi nasubiria jibu kama watakuwa wamenikubalia ili nihamie PGM. kuna friend wangu alikuwa anachukua...
Habari zenu wanajamii forum.mimi ni kijana ninayesoma Minaki high School,dar es salaam kwa combination ya PGM.nilikuwa naomba kujibiwa swali langu kuwa,mtu anayechukua PGM and then labda akafeli Geography,anaweza kuwa Engineer wa Ndege(aerotical Engineer)? Na huwa anasoma miaka mingapi...
Msomi ni mtaalamu katika tawi kutokana na maarifa yake. Msomi ni mtu aliyejifunza, ambaye anajua taaluma fulani ya kusoma vizuri sana; mtu ambaye ana ujuzi mkubwa na ana utafiti wa kina katika shamba.ili Kuwa mwanazuoni mkubwa unapaswa kufanya utafiti wa kina na siyo tu kufanya utafiti bali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.