nipe historia ya DOSSA azizi kwa urefu zaidi.
Pia kuna jamaa sikumbuki jina naskia nae alizimwa, alikua wa zenji hadi akawa waziri nadhani. Baadae akafa kiutata
Hujui unachoongea,
Hao wanachama kwa miaka zaidi ya 50wameshindwa kufanya ayo unayoyasema.
Wameshindwa kudhibiti nembo inatumika ovyo, jezi,.
Sasa acha apewe mtu ambae atadhibit kibiashara,
CHA msingi ni mikataba ikae sawa tu
kimbunga ukiambiwa largest commercial bank unaelewa vipi kaka?? Kwa uelewa wangu uwa wanaangelia sana deposit ya iyo bank bank kuu(bot). So nakumbika 2013 iyo bank ilikua na 33% out of 100% alafu ndo zinakuja nmb 18% alafu crdb na zingine. Ivyo ukubwa awaangalii matawi kaka
KUKU KUKU TU JOGOO JINA,UDSM ZAMANI, SIKU IZI WA2 KUTOKA VYUO VINGINE WANAKIMBIZA... ALAFU WANAOKUWA NA LIFE ZURI UWA NI WA VYUO VINGINE NA NDIO WAJANJA, ILA WA UDSM KIUKWELI WENGI WAO NI WALUGA LUGA YANI WAKUJA, WASHAMBA.. "samahani kwa maneno yangu yanye ukweli ndani yake"
ni bora utumie jiko la umeme kuliko gesi siku hizi maana garama... nilijaribu kutumia gesi na umeme nikagundua umeme ni chini sana..
Ila umeme ni taratibu, wakati gesi ni araka araka
ao wamefanya mengi tu,,,,,, ata ufisadi ni jambo zuri, lisingekuwa zuri alilofanya bas ata watanzania wenzio wasingewapitisha kwa kishindo majimboni mwao
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.