Tunahitajika kijana mwenye umri kati ya miaka 25 - 35, mkazi wa Dar es Salaam. awe na uelewa wa matumizi ya Computer programs (accounts) jinsi ya kuhifadhi kumbukumbu (stocks) awe na uelewa wa matumizi ya Internet katika ku-update matangazo katika website.
Kwa mawasiliano zaidi:
Tel:+255 659...
570 au 530 nimezipata ila ni Madani pekee ndio inaonyesha nayo kuna box ya conax bt nyingine kama CNN, PRESS TV, EATV hazina picha na ATN ni sauti tu inatoka bila picha. Kuna mwenye mautundu kujua nini cha kufanya tuzipate?.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.