Kuna kitu ACT mzalendo wanajaribu kukionesha ambacho ni tarajali kwa wao wanajiita "chama kiongozi cha upinzani" /leading opposition party kwa Tanzania. Hii imekaaje hii?
Mheshimiwa Rais aliangalie swala la KATIBA Mpya kwa staha sana na maamuzi yake yawekwe kwenye maslahi mapana zaidi ya nchi kuliko chama chake...... [emoji3070] [emoji3070] [emoji3070]
Mh. Rais aunde timu (think-tank) mahsusi ya wataalam watakaomsadia katika sekta zote kubwa nchini kubwa zaidi CAGs wote wastaafu wawepo kwenye timu. Itasaidia sana yeye kama ovwrseer wa nchi kupata kuwa proactive na kuwa na mielekeo mizuri ya ki-nchi nyakati zote.
Kwakweli nchini kwetu kuna sekta mbili muhimu sana kwa ustawi wa jamii na taifa letu zinachezewa sana;hizi Sekta ya Elimu na Kilimo...yaani haikuwahi kutokea zikapata wasimamizi wazuri. Everything is going zigzag with these sectors.
Sasa YEHODAYA hapo kwenye jina lako hili weka "Wizara ya Elimu" kwamba ndiyo imejibu....
Unaonaje hilo jibu?? Umejibu hoja au kipengele kwenye hoja? Think don't rush.... [emoji3070] [emoji3070] [emoji3070] [emoji3070] [emoji3070]
Okay lakini jaribu tena ku-revisit post yako kwa kuangalia vipengele hivi;
1-"Elimu ya Msingi" kwamba ni lazima aipate
2- Darasa la 4&7
3- Ada kupanda 1,500,000/=>>>>2,500,000/=
But be critical to the argument, from local to global.... [emoji3070] [emoji3070] [emoji3070] [emoji3070]
Wahusika wa Wizara ya Elimu mnaosimamia Kata, Wilaya, Mikoa na ngazi ya Taifa yaani Waziri, hili suala la shule binafsi za msingi kulazimisha watoto wa darasa la Nne na Saba kulala bweni ni halisi na linafaida kubwa kiwango cha kubadilisha maana halisi ya "Elimu ya Msingi" kuwa la lazima...
Hata sisi kama Tanzania [emoji1241] hatukuwahi kufanyiwa haya tunayofanyiwa sasa, ni mageni lakini si ya Kiutu wa Kitanzania, upooo?? Kama unanufaika kwa njia zisizoumiza mwili wako kama sisi huwezi ona umuhimu wa haya. [emoji3070] [emoji3070] [emoji3070]
NEC hii inawahusu sana.....!!!!!
Hivi kabisa kabisa kabisa watanzania pamoja na tunu zetu zooooote tunakubali hili kwa gharama sifuri?
Mgombea yupo kwenye kampeni za kiti cha uongozi wa juu kabisa katika nchi hii anaahidi wapiga kura watarajiwa na wananchi kwamba, "Mkichagua upinzani sitaleta...
Erythrocyte,
Wairaq hawa ni Waethiopia kabisa, hawa watu wanakili sana huwa namshangaa Slaa alikwama wapi. Lakini chimbuko lao wanakaribiana sana na Wanyaturu mfano muangalie Lissu au Nyalandu.
Hebu tuje tuje hapa tusemezane ninyi nyote Wanasheria, Wanaharakati, Wanazuoni, Maendeleo na Ustawi wa Jamii, WanaSera, Wanasiasa, WaDini nk.
Think of the Utter statement in the Law Acts that every power and function, every resource here in our beautiful and lovely country is vested to the...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.