Tuongezeke mara 100 tena mkuu tutatosha....?
Ila naunga mkono hoja nchi yetu population ipo sawa kabisa shida ni illiteracy rate tuna kundi kubwa sana la wajinga.
Una umri gani? Kama umezaliwa kuanzia mwaka 2005 sio kosa lako ni utoto tu unakusumbua!
Magufuli ni wapi alishika risasi na kumpiga Alphonce Mawazo?
Alphonce Mawazo kada wa chadema aliuawa na wanaccm kwa kupigwa na vitu vizito na kuchanwa mapanga baada ya ugomvi kutokea kwenye kikao cha chama...
Dunia imepinda sana siku hizi huku uswahilini kwetu kitoto hata kubleed hakijaanza tayari kishatolewa bikra.
Gari ya mwaka 2003 odometer inasoma 1600000 mileage na ishatembea sana rough road huku service ikizingatiwa kwa kiwango kidogo sana huku wewe ukiwa owner wa 31 unaoa halafu unaibandika...
Kama mtu anafika mpaka chuo na anakuwa bado hajajitambua basi huyo hawezi kujitambua milele, mtoto wa darasa la saba tu anajua madhara na matokeo ya ngono zembe.
Wakubwa wanapima umahiri wa silaha zao na kwenye vita ndio sehemu sahihi ya kupima mapungufu na ubora wa silaha zao ndio maana makamikaze, himars, shaheed yanatumika huko
Mtazamo wa kuhamisha makao makuu ya serikali kutoka Dar es salaam kwenda Dodoma ulikuwepo tokea kipindi Tanganyika imepata uhuru na hayakuwa tu ni mawazo ya Nyerere.
Sababu zilizopelekea Nigeria kuhamisha serikali kutoka lagos kwenda Abuja ndio hizo hizo zilizopelekea serikali ya Tanzania...
Kama mtu kwao kuna dada, shangazi au mama zake masingle maza tena zaidi kila mtoto na baba yake na anatushauri tusioe masingle maza.....
Huyo mtu anapaswa kusikilizwa na anachokisema kiheshimiwe kwa sababu anaongea kutokana na experience
Uchumi wa watu ndio nini acha kukariri hakuna nchi yoyote hapa afrika mashariki inayoikaribia Ethiopia kwa lolote kuanzia iq, gdp, population, purchasing power, infrastructures nk.
Kinachowakimbiza waethiopia kwao ni majanga ya asili kama ukame yanayopelekea njaa na kingine ni damu tu ya...
Mbona ashatoka zaidi ya mara moja 2019 top walikuwa ni Dimitri Vegas na like mike hata 2020 alikuwa mdutch armin van buuren 22 na 23 na yenyewe sidhani kama alikuwa namba moja.
Ila 2016 chainsmokers walifanya poa sana ngoma kama closer, Don't let me down, sick boy zilikuwa za kibabe
Hata wewe ungekuwa na akili timamu ungejiuliza kwanini urusi kaingia kwa asilimia kubwa kwenye nchi zinazoongea kifaransa na kwanini nchi hizo huwa zinaongoza kwa umasikini na machafuko.
Na kwanini ufaransa ndiyo nchi inayochanganyikiwa zaidi na ushawishi wa urusi Afrika.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.