Habari zenu wakuu,
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu,ningependa kujua ni maeneo gani hapa dar es salaam ambapo kuna boxing club nzuri,au kuna mwalimu mzuri wa mchezo wa boxing(masumbwi).
ikiwa mitaa iliyo kati ya mji itapendeza zaidi,nawasilisha.
Habarini za muda huu,nahitaji gevey card kwa ajili ya i phone 7+ yenye carrier lock,aliyenayo tuwasiliane au anaejua sehemu ninapoweza kupata tuwasiliane.
Sent using Jamii Forums mobile app
Habarini za usiku wakuu,ninahitaji kujua je hizi simu ambazo zina network lock au carrier lock zinatolewa vipi? na bei gani kutoa hiyo lock? na zipo njia za aina ngapi? na je njia hizo ni 100% effective?
Nawasilisha.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama nilivyokwisha kusema hapo juu, mwenye uelewa wa gym ya kawaida tu ambayo ina dips bars,pull ups bars na vifaa vingine kwa ajili ya weight na strength exercises ambayo bei yake haizidi 3000 per day kwa maeneo yote karibu na fire,unaweza kunijulisha!
Nawasilisha.
Habari za muda huu wakuu,kama kichwa kinavyojieleza,kwa wale wazoefu wa jiji ningependa kuuliza ni gym gani ambayo ni nzuri with affordable price kwa maeneo ya kariakoo,upanga,msasani na masaki.Bei isiwe zaidi ya 50000 kwa mwezi au ikienda sana 60000.
Nawasilisha
Rejea kichwa tajwa hapo juu,natafuta mtu anaeuza laptop yoyote ambayo ni convertible au 2 in 1,kwa maana inaweza kutumika katika mode zote either tablet mode au pc mode.
Nawasilisha
Rejea kichwa tajwa hapo juu,natafuta mtu anaeuza laptop yoyote ambayo ni convertible au 2 in 1,kwa maana inaweza kutumika katika mode zote either tablet mode au pc mode.
Nawasilisha
"NAFASI YA KAZI MWALIMU WA PHYSICS NA CHEMISTRY - ENGLISH NA KISWAHILI TUMA CV NA VYETI HAPA gilisecondary@gmail.com"
Changamkieni fursa wakuu,
Sent using Jamii Forums mobile app
Habarini za muda huu wana jukwaa,nianze kwa kuwatakia kheri ya sikukuu ya x-mass.
Ningependa kujua zaidi kuhusu nchi ya hungary,maisha yao,miji mizuri kuishi,chakula,culture,nk nk
Karibuni sana kwa michango yenu!
Habarini za muda huu wana jukwaa,nianze kwa kuwatakia kheri ya sikukuu ya x-mass.
Ningependa kujua zaidi kuhusu nchi ya hungary,maisha yao,miji mizuri kuishi,chakula,culture,nk nk
Karibuni sana kwa michango yenu!
habari zenu wakuu,kama kichwa kinavyojieleza hapo juu,kama kuna mdau yoyote humu anaelekea dodoma siku ya leo kwa usafiri wake binafsi naomba msaada wa kiungwana,nitamlipa nauli...hali ni tete hapa dar!
Habarini wakubwa zangu,kama kichwa kinavyojieleza hapo juu ninahitaji kujua hotels au lodges nzuri kwa mkoa wa arusha kwani ninatarajia kwenda huko kwa siku kadhaa.Badget ni 30000-50000.
Habari zenu wana jukwaa la elimu. Ningependa kufahamishwa ni course gani za muda mfupi ambazo mtu anaweza kusoma maybe kipindi akisubiri kujiunga rasmi na chuo?
Habari wana jf!Ni matumaini yangu mu wazima wa afya.Kama title inavyojieleza hapo juu,ningependa kupata ufafanuzi au data kuhusu nchi hiyo ya UTURUKI kuanzia MAISHA,ELIMU,CHAKULA,na maswala mengine yote.Kwa yeyote mwenye nondo za kutosha anaweza kunishushia hapa!Natanguliza shukarani zangu.
Habari zenu wakuu!Ningependa kufahamu mahali zinapoweza kupatikana gyms au sehemu za fitness centers kwa ajili ya mazoezi mbalimbali ya mwili katika manispaa ya DODOMA..Ahsanteni!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.