Naona imekuwa habari muhimu saaaaaanaaaaa kila Mkuu anaitolea maelezo mbele ya vyombo vya habari, yaani wakitoka nyumbani wanavaa suti tai, na perfume wanapuliza, wapi wanaenda kuongea na vyombo wa habari juu ya wimbo wa nei, kuanzia rais, warizi mkuu, mkuu wa police yaani walikuwa bize kuandaa...
Anapendewa dramas baaaaaasiiiii,msanii yupi mwingine ulishawahi ona akawa na uthubutu wa kuita media kwenda kuwaonesha nyumba ya watu na kuwatangazia watu kuwa ni ya kwake? Jibu ni hakuna ila wema aliweza, ni msanii yupi alishawahi ona amefake mimba, kisha akaenda kuifanyia launching kwwnye...
You are one who bring it up! Mpaka unaanzisha huu uzi hukuwaza kuwa ndio unazidi kusambaza habari ambazo unajua ni za uongo?? Me ni shabiki wa dai sikujua mpaka nilivyosoma hapa.
Waliweka tuzo zao kishabiki sana, dizain kama walikuwa wameandaa msumari wao wa mwisho kumshusha dai, coz kila mtu anajua wana eatv na E redio ni team kiba, toka siku nyingii, kipindi cha nani zaidi cha redio kila j2 can tell it all, sijui ni mara ya 20 sasa wanampambanisha kiba na dai, na kila...
No! Nadhani nisha, ni kawa kawajibu hao, kuwa madildo kila mtu anaweza kuweka. Ukiangalia kwa makini madhumuni hasa ya kuweka hayo madildo ni kuwapooaza watu na skendo a mchele, kwangu mimi imenifanya niamini kuwa huenda hawa jamaa sio rizki kweli, maana sio kwa kujihami huko.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.