Search results

  1. Paula kilaki

    Humu ndani kumepoa sana

    Looh! Hawa ndio wakongwe wa JF? Basi kuna kizazi kilishakufa kikaisha, naona kabaki Dinazarde tu, me naona nifufuke maana ni miongoni mwaoLll
  2. Paula kilaki

    Humu ndani kumepoa sana

    Dinazarde [emoji112]
  3. Paula kilaki

    Msaada: Hivi vidonge sio ARV?

    Utakuja kutibika tu, mbona malaria takes ovee 40 years kupata dawa?
  4. Paula kilaki

    Msaada: Hivi vidonge sio ARV?

    Hahahaaaa sio kwa umbea huu
  5. Paula kilaki

    Msaada: Hivi vidonge sio ARV?

    Hahaha wee mbeya
  6. Paula kilaki

    Rais Magufuli aamuru Ney wa Mitego aachiwe huru na wimbo wake upigwe vituo vyote redio na TV

    Naona imekuwa habari muhimu saaaaaanaaaaa kila Mkuu anaitolea maelezo mbele ya vyombo vya habari, yaani wakitoka nyumbani wanavaa suti tai, na perfume wanapuliza, wapi wanaenda kuongea na vyombo wa habari juu ya wimbo wa nei, kuanzia rais, warizi mkuu, mkuu wa police yaani walikuwa bize kuandaa...
  7. Paula kilaki

    Nina wasiwasi 99% kuwa Diamond na Zari wanatudanganya

    Uuuwi ndio ukute eti wewe ndio mume wangu uwiii uwiiiiiii, najiandikia talaka mwenyewe naona mahakama itanichelewesha.
  8. Paula kilaki

    Hivi kwanini Wema anapendwa?

    Anapendewa dramas baaaaaasiiiii,msanii yupi mwingine ulishawahi ona akawa na uthubutu wa kuita media kwenda kuwaonesha nyumba ya watu na kuwatangazia watu kuwa ni ya kwake? Jibu ni hakuna ila wema aliweza, ni msanii yupi alishawahi ona amefake mimba, kisha akaenda kuifanyia launching kwwnye...
  9. Paula kilaki

    Ben Paul agombana na mwandishi wa EATV, baada ya kubanwa kuhusu habari za 'shemeji'

    Angrrrrrr its annoying aisee, huyo mtangazaji alizidi bana, king'ang'anizi kama mkia wa ng'ombe? Hata ingekuwa mimi adrenaline ingemwagika
  10. Paula kilaki

    The Highs & Lows katika burudani na 'ubuyu' 2016

    [emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122] fair analysis thou' thumb up kwa aliyetumia muda wake kutuchambulia
  11. Paula kilaki

    kumhusisha diamond kwa ajali ya Darasa ni upunguwani

    You are one who bring it up! Mpaka unaanzisha huu uzi hukuwaza kuwa ndio unazidi kusambaza habari ambazo unajua ni za uongo?? Me ni shabiki wa dai sikujua mpaka nilivyosoma hapa.
  12. Paula kilaki

    EATV na EA Radio wasitisha kucheza nyimbo za Wasanii wa WCB

    Hahahaaaaaa yameanza kutimia eeeh!?
  13. Paula kilaki

    EATV na EA Radio wasitisha kucheza nyimbo za Wasanii wa WCB

    Ngoja nifuatilie, maana hapo kabla ya tuzo ilikuwa ukitoka wimbo wa kiba LAZIMAAAA uingie wa dai yaani hadi keroooo
  14. Paula kilaki

    EATV na EA Radio wasitisha kucheza nyimbo za Wasanii wa WCB

    Waliweka tuzo zao kishabiki sana, dizain kama walikuwa wameandaa msumari wao wa mwisho kumshusha dai, coz kila mtu anajua wana eatv na E redio ni team kiba, toka siku nyingii, kipindi cha nani zaidi cha redio kila j2 can tell it all, sijui ni mara ya 20 sasa wanampambanisha kiba na dai, na kila...
  15. Paula kilaki

    Why kokoro imewah 1mil view kuliko Muziki ya darasa

    Darasa katisha sana lakini bila shaka fan base ya wcb inatisha zaidi
  16. Paula kilaki

    Interview ya Ommy Dimpoz: Bifu lake na Diamond, hastahili lawama

    Mimi nataka kuretire mwenzenu kwenye haya mambo, nitakua nawatembelea thou, likes likes sitashindwa [emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124]
  17. Paula kilaki

    Nisha awaumbua Ommy Dimpoz na Martin Kadinda

    No! Nadhani nisha, ni kawa kawajibu hao, kuwa madildo kila mtu anaweza kuweka. Ukiangalia kwa makini madhumuni hasa ya kuweka hayo madildo ni kuwapooaza watu na skendo a mchele, kwangu mimi imenifanya niamini kuwa huenda hawa jamaa sio rizki kweli, maana sio kwa kujihami huko.
  18. Paula kilaki

    Hivi team Kiba kwanini mnamchukia Diamond kupita kiasi?

    Wanaelewa vizuri sana tu sema kiburi kimewajaa
Back
Top Bottom