Ndo stor ya wiki hii.. Jk huenda akatua Venezuela.
R.I.P
JK angekufa kanumba angeenda
limekufa jembe atajifanya yupo busy
kamanda pumzka kwa amani HUGO
ni kwamba kova amezoa kukurupuka hata issue ya jerry muro alikuja mpaka na kitabu cha sheria leo hii tumeona. sasa ya dk ulimboka nadhani jeshi hakuja jipya itakalo toka nalo kwani wanajua bana. uonevu hauwezi kushinda haki
leo majira ya saa mbili kasoro mpaka saa mbili na nusu nimethibitisha kili nilichokua nakifikiria kila wakati ninapokuta
foleni kubwa barabara ya mandela. maeneo ya songas kuna u turn. Ilikua gari
NO T470 BNT TOYOTA CORONA PREMIO yenye tinted walikua trafic waili wakivizia daladala
zinazogeuza...
sasa wameenda kufanya nn wakati wapo wote kwenye vikoa vya kupitisha muswada wa katiba haramu
cuf bwana wanachekesha kweli ila wajuie ndo wanajifuta kwenye medali za kisiasa. nawakumbusha kilicho wakuta igunga ...
natamani nigekua hapo karibu kama alivyo kaa huyo mwenye t shirt ya kaki, ningemchapa kelbu ndo akome kuongea uongo wake mara kibao alikua anawataja kwa majina leo waandishi ndo waongo waandishi ikifika mahali muwe mnawapiga kelbu viongoz wanoaongopa wanakera sana hawa
jkei ndo amesoma eheeee !!!!?? wabungeeeee wa magamba nipata tabu kuwafikiria mchum jkei nchi imemshinda kila siku anapewe digree hata hajui ni za nn kweli magambaaaaaaaaaa chama
Simshangi kwani anajua katiba ikatina yeye ndo atakua mhuni. na siku za kurudi mogadishu zitakua zimefika . hatafanikiwa hiyo si simba bana hii ni nchi hatuwezi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.