nani kakwambia kafa wee chizi?? Au hujui maana ya r.i.p unajiandikia tuu...umeambiwa kapigwa risasi..hakuna mtu kasema amekufa wee unakimbilia r.i.p.....ungeandika kiswahili wala usingekosea kujishaua tuu na lugha za watu...
sikia wee kenge, watz mna shida sana kuambiwa ukweli..ukiwa na mawazo ya kikenge watu watadhani wee kenge au wafanana na kenge..so hapo tusi liko wapi?? ni kama kumwita mwanaume wanayemnanihii shoga..utakuwa umemtukana wakati ndo jina lake??kwa mawazo yako hapo juu hata kenge wenzio...
nasikia alifika tanesco akauliza mnaendeshaje shirika bila hata ya PhD moja...akauliza yaani tanesco shirika kubwa PhD za kutafuta ahahahahaha daaah...sawa yako Prof. tunyanyase tulioshia saint kayumbaz...
kaka zitto wee si upo ndani huko so unajua hata kampuni iliyoiuzi tanesco matairi ya chini ya kiwango na kwa bei iliyoongezwa jamani si ungetujuza ni ipi hiyo daah??afu kwenye suala la kusema utaratibu ufuatwe yaani waziri anasema ameokoa billions then wee bado umeng'ang'ania kuwa utaratibu...
laziwa uwe umeandika haya kutoka wodi mojawapo pale milembe..mi nilishasema zitto kuwa raisi labda ni kwa sababu mbili kubwa!
1. kwamba asilimia zaidi ya themanini ya watanzania ni vichaa,...
2. nchi nzima tumekufa na wamebaki wanyama kama simba, kunguru, mbuzi, nyau n.k...(oops sorry kunguru...
ahahaha na bado yatakutoka mapovu mpaka ufe....nalipendaga lile tangazo la kiss fm ambalo mr ebbo ameweka sauti linasema ....pikei na kikei ..kitu juu ya kitu niachie mwanangu niachieeeee!!ahahahaha hii ndo inaitwa kitu juu ya kitu....na mtajibeba mwaka huu!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.