Tukiacha ground offensive,sehemu nyingine Ukraine wapo vizuri ni military intelligence,Toka wazingirwe Mariupol kwenye Azov steel plant, haijawahi tokea tena Ukraine kuzingirwa namna ile,this means Ukraine military intelligence wame improve sana, ofcause pia kwa kusaidiwa na satellites za...
Hata wanajeshi wa Urusi hasa wale waliokuwa Belarus walikuwa hawajui kwamba wataingia vitani,walijua wanafanya mazoezi kisha warudi Russia,ila wakaambiwa wama match waingie Ukraine,hii imepunguza morali sana.
Kosa kubwa walilofanya Russia toka vita inaanza ni vitu viwili vikubwa
1.Poor logistics (Russia is heavily depend on railway networks for supplies,Ila sasa reilway bridges nyingi Ukraine walishazivunja ili ku destrupt russia logistics system)
2.Failure to dominate Ukraine airspace (Russia...
Correction,Russia is regional power with 19th century logistic command,Huwezi pigana modern warfare with outdated logistic strategy.Hii vita imeonyesha weakness kubwa sana kwenye jeshi la Urusi hasa logistics.
There is a say ""Soldiers win battles,logistics win wars"Ukifeli logistics umefeli...
Stupid feminist with American far left social ideology,kama hawa ndio wale wanasumbua kule USA wanasema there is plenty of genders,eti gender is how you feel idendified, what a crap🗑️🗑️🗑.
Anakuja hapa na hizi ideology za kusema men and women are equal.🗑️
Kwa anayetaka pia kujifunza kuhusu siri ya ujenzi wa Pyramids aangalie hii dicumentary hapa chini.Kuna maswali mengi sana mchambuzi anauliza,ila mwishoni utagundua Pyramid hazikujengwa na Egyptians kama Egyptology wanavyotuaminisha kwamba zilijengwa kwa kukata mawe kwa kugonga na kipande cha...
😅 😅 😅 😅 😅,Aisee nmecheka sana,eti kuifuta NATO ndani ya dk 5.Ndio wanavywadanganya uko vijiweni kwamba NATO ni sawa na kanchi kama Burundi?..
Russia anatengeneza silaha mwenyewe kwa kutumia nini,upepo?Kwamba hazina production cost za materials?.
Tumieninna akili kidogo
Fact: Russia hana uwezo wa kupigana vita mbili kwa sasa (Ukraine & Finland),sababu hawakujiandaa kwa hilo.
Fact : Finland wameshaanza hatua za awali za kujiunga na NATO ,Sweden nao wata confirm kuanza hatua week chache zijazo.
Fact: Finland ni nchi tajiri na yenye jeshi imara well trained kuliko...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.