Search results

  1. dtov

    Chuo kufanya confirmation bila ridhaa ya mwanafunzi mwenye multiple selection

    Si angekuwa na confirmation ya vyuo viwili hapo huoni kama ni tatizo linakuwa?
  2. dtov

    Chuo kufanya confirmation bila ridhaa ya mwanafunzi mwenye multiple selection

    Wameconfirm kabla dogo hajapata code kutoka tcu.na ku uncofirm wanazungusha akiweka code kutoka tcu ili ku unconfirm mwenyewe anaambiwa code si sahihi wakati ni copying and pasting ambayo ni uhakika hajakosea nakili code
  3. dtov

    Chuo kufanya confirmation bila ridhaa ya mwanafunzi mwenye multiple selection

    Habari wana jf Nina mdogo wangu amechaguliwa UDSM na UDOM second round,kilichotokea ni kwamba mara baada ya kuchaguliwa UDSM walionekana kufanya confirmation bila taarifa kwa mwanafunzi,tulipoona vile tuliwasiliana na UDSM kwa kiwatumia email na kiwapigia simu wakafanikiwa ku unconfirm.katika...
  4. dtov

    TCU phone number

    Wachek kwa emeil yao mkuu
  5. dtov

    kuhusu confirmation code awamu ya pili

    Naomba mawasiliano yao mkuu
  6. dtov

    UDOM second round

    Successful selected mkuu nmekuw
  7. dtov

    UDOM second round

    Nmefungua udom wamejibu kwa wale ambao account hazikuw na changes toka waanze kujibu..mkeka ume tiki[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
  8. dtov

    Multiple selection second round

    Account had leo tar 26 hakuna changes zozote
  9. dtov

    Multiple selection second round

    Sasa hawa wana mpango gani na deadline ya 3rd round ni leo 26th then hawaja release single selected..kweli tabu iko pale pale
  10. dtov

    Mada Maalum: Waliochaguliwa kujiunga chuo kikuu cha Dodoma 2017/18

    test namb hzo especially za Voda utasaidiw
  11. dtov

    University admission results updates (Matokeo ya udahili vyuoni)

    Mzumbe wenye multiple selection hao
  12. dtov

    University admission results updates (Matokeo ya udahili vyuoni)

    Kuna namb za cm zimetolew kwa ajil ya confirmation.. Inatakiw achukue namb mojawap ktk tangazo atume ujumbe mfupi ukiw na jina kamili, F 4 index no, na degree program aliochaguliw
  13. dtov

    University admission results updates (Matokeo ya udahili vyuoni)

    Kwa wale mlikuw mkisubiri majina ya selection chuo kuu dodoma yametoka.. Fanya kupitia hpa uangalie kama yamekaa saw au laah..hzo doc mbil kuna moja kwa wale wenye single selection na ya pili kwa wale weny multiple selection wanaoitajika ku confirm kama wataenda chuoni (UDOM)
  14. dtov

    Vitabu vya geography

    D.T Msabila edition ya 2014 ni kizuri kwa physical geog pia kina topic ya wetlands. Kwa practical tumia zisti kamili.. Ila Human and economics geog tumia pia kitab cha D.T msabila ni kizur na kitakusaidia sana..Pia jaribu na kutafta vitin vya Mtegetwa kwa topic moja moja...
  15. dtov

    TCU vipi Diploma Guidebook?

    [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]
  16. dtov

    Msaada: "Your transaction id is not valid or there is delay of receiving id details to our system"

    Ww ndo unakosea mkuo..maelezo yao hapo juu wanasema kama kweny transaction ID yako unachanganya kat ya letter O na namba 0,,rekebisha kwa kubadil zikigoma ndo usubir for about an hour ndo ujarbu tna..
  17. dtov

    Kwa vigezo hivi huenda tukakosa wanasayansi

    Survival for the fitest,,period
Back
Top Bottom