Wameconfirm kabla dogo hajapata code kutoka tcu.na ku uncofirm wanazungusha akiweka code kutoka tcu ili ku unconfirm mwenyewe anaambiwa code si sahihi wakati ni copying and pasting ambayo ni uhakika hajakosea nakili code
Habari wana jf
Nina mdogo wangu amechaguliwa UDSM na UDOM second round,kilichotokea ni kwamba mara baada ya kuchaguliwa UDSM walionekana kufanya confirmation bila taarifa kwa mwanafunzi,tulipoona vile tuliwasiliana na UDSM kwa kiwatumia email na kiwapigia simu wakafanikiwa ku unconfirm.katika...
Kuna namb za cm zimetolew kwa ajil ya confirmation.. Inatakiw achukue namb mojawap ktk tangazo atume ujumbe mfupi ukiw na jina kamili, F 4 index no, na degree program aliochaguliw
Kwa wale mlikuw mkisubiri majina ya selection chuo kuu dodoma yametoka.. Fanya kupitia hpa uangalie kama yamekaa saw au laah..hzo doc mbil kuna moja kwa wale wenye single selection na ya pili kwa wale weny multiple selection wanaoitajika ku confirm kama wataenda chuoni (UDOM)
D.T Msabila edition ya 2014 ni kizuri kwa physical geog pia kina topic ya wetlands.
Kwa practical tumia zisti kamili..
Ila Human and economics geog tumia pia kitab cha D.T msabila ni kizur na kitakusaidia sana..Pia jaribu na kutafta vitin vya Mtegetwa kwa topic moja moja...
Ww ndo unakosea mkuo..maelezo yao hapo juu wanasema kama kweny transaction ID yako unachanganya kat ya letter O na namba 0,,rekebisha kwa kubadil zikigoma ndo usubir for about an hour ndo ujarbu tna..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.