Unajua jando za miaka hiyo walikuwa wanaambiwa ukichapiwa ni siri ya ndani?!?! Na akipatikana mtoto ni wako huyo.
Walikuwa wanafundishwa kuheshimiana na kujaliana
Walifata taratibu za kujitambulisha?
Kuna mahali wamejisajili?
Wizara inawatambua na je inatambua mashindano waliyoshiriki?
Walienda kwenye kituo chichote cha habari kutangaza kikundi Chao?
Wamelalamika kuwa wanahitaji msaada?
Mie Simo kwenye lawama ulizotoa ndugu.
Mtu anaoa anamuweka ndani mke mwenye kila kitakiwacho, wanafurahia mahusiano ghafla mwanaume anajiona kidume.
Anaanza kuchepuka anarudi alfajiri bila maelezo, akiulizwa anageuza kibao eti, eti mke hana utii, ana mdomo, ana kelele ndio anakuwa amepata sababu ya kuhalalisha alilolianza....
Eti...
Hapa point ya msingi ni
Kila anaunga mkono mkataba wa bandari, akubali kwa hoja zake na kuwatangazia wafuasi wa kundi lake.
Kila anaye kataa mkataba akatae kwa hoja zake na kuwatangazia wafuasi wa kundi lake.
Viongozi wa makundi mbalimbali wawe kama walivyofanya Wahashamu wetu, kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.