mkuu umenena! chama lazima kichukue hatua kali ili iwe fundisho!kama watu wanamfuata mtu na wao waliwe vichwa! kinyume na hapo ni sawa na una malaria halafu hunywi dawa unategemea nini!
Mke mwenye busara mtu hupewa na Bwana" (Mithali 18:22; 19:14).
Mwanamke wa siku hizi (my opinion) hawana busara, unakuta kama umerudi home unakuta kanuna tu au ukimsemesha kama umechelewa toka kwenye mishemishe zako hata kama ulimpa taarifa ni kununa tu. Yaani kimsingi hawaeleweki kabisa...
Naanza kwa kusema
"Si vema huyu mtu awe peke yake", na kwa sababu hiyo Mungu aliweka ndoa (Mwanzo 2:18-24). Kwa hiyo,"Apataye mke apata kitu chema; naye ajipatia kibali kwa Bwana . Mke mwenye busara mtu hupewa na Bwana" (Mithali 18:22; 19:14).
Mwanamke wa siku hizi (my opinion) hawana busara...
Kwenye baadhi ya vituo vya mafuta hapa dar wanachakachua pump bei inaandikwa sawasawa mfano 1993 tsh kwa lita ya petrol. Chukua mfano umenunua mafuta ya 15000. Hizo pump unakuta inaandika kwenye lita ulizonunua 7.52 wakati ilitakiwa iwe 7.53 kwa hiyo unakuwa umeibiwa shiling tatu kwa kila lita...
kijana hilo ni jambo la kwaida kuwa na fear what byou have to do is to think of your role model like obama or oprah and then it is done. utakuwa na confidence ya kufa mtu lakini ucisahau what you are talking about!!
48. Theprinciple act is amended by repealing section 18 and substitung for it the following new sections
RECOVERY OF CONTRIBUTION CAP 33
18.(1) Every statutory contribution due to the fund may be recovered by way of summary suit underorder XXXV of civil procedure code at any time after the...
Hadith; vol.8:796: Muhammad deprived people of water until they died. Hadith; vol.1:28,301 vol.2:161:...the majority of people in hell are women. Hadith; vol.9:162,163: Muhammad warned that dreams of black women meant disease was forthcoming. TAFAKARI CHUKUA HATUA
wadau naombeni msaada nikiweka hela kwenye line ya tigo inakata hela na kuniambia umejiunga na internet megaboksi sikujiunga nao wala nini. nifanyeje niweze ku-unsubscibe na hiyo service yao.
Tigo ni matapeli nini!!
Mtoto mmoja kule kijijini alikuwa amepewa chakula na mama yake. Chakula chenyewe kilikuwa wali sasa mama akamsikia mtoto wake analia akamuuliza kwanini unalia mtoto akamwambia naomba chakula. mama yake kama kawaida akamwongezea ili mtoto ale ashibe na kusaza lakini baadaye mtoto akaanza kulia...
Mhaya aliingia baa akaanza kuagiza vinywaji huku akiwa nasimu ya nne! Akaagiza heineken baridi. Wee mudada hebu kuja hapa, leta ile bia yawazee! Leta Heineken baridi kwa kweli! Mara simu ikaita, halloo rushoberahabari za hapo, sasa ile milioni ishirin utanieletea lini, ok basi tuwasilianeniko...
wanajukwaa kwenye hizo picha kuna ushahidi tosha! Marehemu amefia mikononi mwa maaskari wenye vyeo kwani jaribuni kuchunguza hizo kofia za maaskari.mlipuaji ni mmoja waliobaki ni wale viongozi wa wale maaskari waliokuwa wanapiga mabomu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.