Haina Haja kumchamba mfiwa.Hivi sasa ni wakati wa huzuni kwa wafiwa.Kwa dini au Imani yeyote Hivi sasa tunatakiwa kumuombea Marehemu Mwenyenzi MUNGU amlaze mahali pema.Kifo kila mtu kitamfikia.R.I.P. MZEE AZIZ
Hebu tumtendee haki huyu Bwana.Sasa RA amewaachia nchi,sasa kwa nini bado anatajwa?Kama kweli huyo Mulla Jambazi,kwa nini hatumpeleki mahakamani.Acheni majungu yenu na ubaguzi.Mwenyezi Mungu haradhi,semeni ukweli.Loh!!!!!!
Hao wote watu wa maslahi.Unategemea nini kutoka kwao?Hawa ndio wanaweza kulinda haki ya Watanzania?????Inasikitisha sana.Tanzania baadaye itakuwa kama Nigeria.....
Gugwe,kama alivosema Mzee wa Mawe ...Huo ufisadi wa Rostam ulitoka wapi?
Hayo mambo yenu ya kiswahili na yasyo na msingi wa kitu chochote.Mimi ni Mtanzania kuliko wewe Gugwe.Hata kama naishi nje Tanzania ni nchi yangu.Mkoa wa Tabora naujua vizuri.Igunga kabla ya Rostam Aziz ilikuwa wilaya ya...
When I was younger I thought this man was useless and a real socialist. However looking back today I feel and I know that he was a very honest person. If he had the support of Western Countries, Tanzania would have been very far today. He was the only honest leader we ever had. He didn't take...
Lakini Fredmlay unazungumzia nini? Wizi gani? Hio biashara. Kama RA mwizi wa mali ya umma, basi viongozi wote wa serikali wezi. Kwa nini hawatajwi? Mmekalia RA RA mtachoka kama alivyochoka Dr Mwakyembe na Anna Kilango na wengineo.
Nashangaa mtu kama Anna Kilango kuwa mbunge. Mchunguzeni...
Hujui unazungumza nini?Hio kampuni ya ngozi haikuwa ya RA.Wala hakuwai kuuza vitabu.1980,RA umri wake ulikuwa chini ya miaka 20 na alikuwa bado anasoma.Kwa hiyo wewe hata hujui RA ametoka wapi.Bora ungenyamaza kuliko kutumia lugha hiyo hapo juu.:washing:
Mimi sijalaaniwa na sina matatizo yoyote.
Kama alivosema Majishindo, Hiyo roho mbaya mliyokuwa nayo baadhi ya wachache Watanzania wenye roho mbaya.Hebu angalia katika wabunge wote Tanzania,nafikiri ukimweka RA katika scale ya 1 to 10 (one being the lowest and 10 the highest) nafikiri RA...
Lakini Tanzania mbona ubaguzi umerudi.Hivi mijizi yote Tanzania tupo kumzungumzia RA.Hivi watu wengine waliopora mabilioni kama kina Mkapa na kundi lake na kuiuza Tanzania kwa makaburu.Inaonekana kama watu wamemuandama RA.Sasa kama RA mwizi kwa nini hatumpeleki mahakamani?Unajua viongozi wote TZ...
Mwakyembe ni muongo mkubwa.kila anavyoishiwa uwongo ,anaunda mpya kama watu wanataka kumwua.Nashangaa hata huyu rais wetu kamweka uwaziri.Kikwete mbona step yako mkebe?Hebu wanyoshe hawa watu.Wewe rais wa aina gani?Unafikiri kama angekua Mkapa au Mzee Nyerere hawa takataka kama Mwakyembe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.