Ila tambua kuwa Iran ana ushirika wa karibu na China na Russia kwa kuwa wao ndo wateja wakubwa wa mafuta nchini Iran.
Wana mikataba ya nuda mrefu wa mabilioni ya dollar katika biashara ya mafuta baina yaho.. hivo kuna uwezekano mkubwa wa kumsaidia Iran.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ngono ya kujificha ficha ... yani unafanya kwa kuibia... haraka haraka watu wasije wakatuona... ni tamu sana...
So kale ka hali ka kupiga mara moja bila kumaliza haja zote, hufanya watu hao kujiiba tena na kufanya tena...
Hii hali haitakaa iishee esp kama ofs haina cctv camera
Miaka 8000+ bongo movie haitapasua anga za kimataifa.... unless waache kujifanya wanajua na wapewe shule ya uigizaji na production inafanyikaje...
Huyo mlela ndo kabisa hajui kuigiza ...
Hapo sasa.... na juzi alikuwa anamsema mkulu kuhusu kuchelewa kutoa maamuzi ya kumwajibisha paul makonda. Na alishawah kumshaur mkulu asiteue wahadhili wa vyuoni..
Vijana wa dar kwa bashite hii kwao ni neno la uzima...
Yani hata ukiwaambia upepo wa ufukweni kuanzia saa 11 alfajr had saa 12 na nusu huimarisha nguvu za kiume lazima utawakuta na wengine kukupongeza mapema kwa kuwafungua macho...[emoji23][emoji23][emoji23]
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.