Habari ndugu zangu.
Jioni ya leo nimekuwa nikipokea simu kutoka kwa watu nisiowafahamu, wakidai kuwa wamepokea ujumbe kwa njia ya WhatsApp kutoka kwenye namba yangu unaozungumzia nafasi za kazi. Ujumbe ambao binafsi siufahamu na sijaandika chochote katika WhatsApp yangu siku ya Leo.
Cha ajabu...
Ndugu Wana jamvi, ni kwa miaka nimekuwa nikisikia sifa kem kem kuwahusu Mabinti wa Kitanga hasa kuhusiana na uzuri wao wa sura na maumbo na Mambo ya "kwichikwichi'.
Wiki kadhaa zilizopita nikapata safari ya kuja Tanga. Hasa Tanga mjini, nimetembelea na kuingia viwanja kadha wa kadha vya starehe...
Habari zenu Wana JF,
Nina mdogo wangu (sio wa damu) anasumbuliwa na kinachodaiwa kuwa ni fangasi. Kwa maelezo yake ni kwamba Hali hiyo imekuwa ikimsumbua tangu akiwa mdogo.
Kwanza anapatwa na muwasho hasa maeneo ya shingoni na mikononi. Halafu unamtokea upele. Baada ya siku kadhaa upele...
Habari za jumapili ndugu zangu..!
Katika mihangaiko ya hapa na pale suala la familia ni muhimu. Nipo katika harakati za kuyafanya mahusiano yangu na binti wa kisukuma kufikia hatua ya ndoa. Jambo linalonifanya nije hapa jukwaani naomba mnisaidie mambo yafuatayo maana huyu binti kwa kiasi Fulani...
Habari za majukumu wana Jf.
Moja kwa moja niende kwenye dhumuni.
Rafiki yangu amepatwa na hali ambayo kwangu Mimi ni ya kushangaza lakini pia inaogofya kidogo. Amekuwa akitokwa na aina fulani ya kamasi ambayo anadai inachangamana na vijidamu puani, hasa hasa pale anapojaribu kupenga zile kamasi...
Habarini za asubuhi wana JF.
Katika jitihada za kujaribu kutafuta namna ya kujiendeleza kimasomo, nilifikia uamuzi wa kutafuta walau chuo kinachotoa online Courses hasa kwa Second degree.
Katika pitapita zangu mitandaoni nikakutana na hiki chuo (Walden University). Ndugu zangu ningependa...
Habari za usiku huu wana JF na poleni kwa uchovu wa mihangaiko ya maisha.
Nina Mzee wangu ambaye anategemea kustaafu utumishi wa umma mwanzoni mwa mwaka ujao.
Kama zilivyo taratibu, mtumishi anatakiwa kufanya maandalizi mapema miezi sita kabla ya tarehe ya kustaafu ili aweze kuandaliwa mambo...
Wasalaam ndugu zangu watanzania.
Jana usiku nilikuwa nikimfanyia mdogo wangu application kupitia Nacte. Baada ya kujaza taarifa za awali ilifikia mahali ambapo nilitakiwa kuhakiki taarifa za awali nilizojaza kama ziko sahihi ikihusisha jina lake kamili, jina la shule, pamoja na namba ya...
Habarini wapendwa.
Niende moja kwa moja kwenye tatizo langu. Nina simu moja ambayo ni Vodafone 785 kwa muda Wa Mwaka mmoja na miezi kadhaa imekuwa ikifanya kazi vzuri sana. Lakini tangu juzi imekuwa ikipoteza network na huduma ya internet imekuwa hafifu sana. Ninapopiga simu mda mwingine...
Amani iwe kwenu nyote
Wakati nikiwa shule ya msingi aliwahi kuja mwanamazingaombwe mmoja..alionesha michezo mbalimbali ambayo hivi sasa kwa jinsi nilivyojaribu kuulizia ni kwa namna gani aliweza kufanya mambo Yale nilipata ufafanuzi isipokuwa katika hili moja..
Kuna onesho moja ambalo...
Habari zenu wakuu...
naomba kusaidiwa Link ambayo nitaweza kupata English Subtitles za Series inayoitwa ARROWS ON THE BOWSTRING-season 1..ni ya muda kidogo kwa anayeweza kunisaidia tafadhali.
Heshima kwenu wakuu..
Ndugu zangu kuna Dada yangu juzi ameenda hospitali kufanya vipimo, baada ya vipimo amegundulika kuwa ana Uvimbe katika ovari kwani alianza kudai kuwa anasikia maumivu upande wa kulia chini ya kitovu...
Ndugu zangu naomba msaada wenu
1. Hali hii husababishwa na nini..??
2...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.