Search results

  1. Nchang'wa

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Njoo mtwala newala nije morogoro dc au kibaha dc Namba:0757407340 Kumbuka hii ajira mpya
  2. Nchang'wa

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Njoo mtwala newala nije morogoro dc au kibaha dc
  3. Nchang'wa

    Mtihani Kidato Cha Sita 2015 Kufanyika Mwezi March

    Hiyo ni tetezi amesema ila ukweli ni kwamba mitihani kidato cha sita na diploma za ualimu itafanyika Mei kama kawaida.. Source:Necta
  4. Nchang'wa

    Matumizi ya 'x' katika kuandika ujumbe

    Jogoo uko sawa tusipende kuongeza vitu ambayo havina maana mfano mtu anaindika xaxa eti anamanisha sasa. Huo ni utumwa wa wa kifikra na ni ulimbukeni
  5. Nchang'wa

    Naomba kufahamu mshahara wa mwalimu diploma holder anayeanza

    Habari za humu ndani Jamani naomba kufahamishwa kwa yeyote anayefahamu diploma huwa wanaanza na TGOS gani yani ile first appointment.
  6. Nchang'wa

    TETESI: Wahitimu wote wa Degree na Diploma kujiunga na JKT.

    Ewaa.. iko DREAMBOY kwa mujibu wa serikali wanasema, "Mtu yeyote atakayekwepa kwenda jkt atashitakiwa kwa mujibu wa sheria so hakuna namna yakukwepa ndugu yangu. Issue imekaa kisheria sana
  7. Nchang'wa

    TETESI: Wahitimu wote wa Degree na Diploma kujiunga na JKT.

    Kwa jinsi ilivyokaa system, itawahusu watu wote wanaosoma kozi zenye ajira ya moja kwa moja serikalini mfano education, afya n.k Lakin pia ukiangalia kwa makini hiki kitakuja kuwa utaratibu kwa wahitimu wote wanaomaliza vyuo ambao hawajapitia haya mafunzo baada yakumaliza form six...
  8. Nchang'wa

    TETESI: Wahitimu wote wa Degree na Diploma kujiunga na JKT.

    Utaratibu huu wakujinga na jeshi la kujenga taifa(JKT) linawahusu wahitimu wote kidato cha sita na vyuo bila kujali umefaulu au umefeli. Kwa hiyo ndugu uliyeuliza kuhusu watu waliofeli wanatakiwa kuhudhuria mafunzo kama kawaida kwa mujibu wa sheria. Kutokwenda kwako unakaribisha mashitaka juu...
  9. Nchang'wa

    TETESI: Wahitimu wote wa Degree na Diploma kujiunga na JKT.

    Intake ya pili inawahusu form six wote waliobaki, certificate wote na diploma watu kama elfu tatu hivi herufi A-J. Wengine wote waliobaki wanaingia intake ya tatu january 2015
  10. Nchang'wa

    post za mafunzo ya ualimu za leta mawazo

    September wewe huna sababu yakukata tamaa
  11. Nchang'wa

    TETESI: Wahitimu wote wa Degree na Diploma kujiunga na JKT.

    Kuhusu certificate na diploma ni kweli kabisa but kwa wale wenye degree sijui japo inawezekana kuwepo kwenye mpango
Back
Top Bottom