Wao ndio walioleta hilo swali kwa hiyo nina haki zote waniambie maana ya hicho walichokileta ili niwafundishe au niwaambie kwamba hakiwezekani kwa sababhu moja mbili tatu.
Tukirudi kwenye hoja yako waliokuuliza wako sahihi maana ungekuwa unajua nini Internet usingekuja na hilo suala.
Labda kama...
Sioni tatizo hapo ,maana anaweza kutumia kama overview muhusika atajipangia mwenyewe binafsi nimeilewa na nimetumia kwa baadhi ya mambo ila sasa nitafanya na zaidi kutokea humu kwa mfano sijawahi weka pocket money kwa wife matumizi yake binafsi huwa nasubiri mpaka aniombe ,sijawahi fikiria kumpa...
Acha mbambamba watu tunazitaka hizo 25m
Nipo hapa na mjukuu wa adui chongo Zenji anasubiria data lete jina yako na la bi mdashi wako. Ila kama unajiamini wewe ni mtoto wa baba ako kweli hata la mdingi litafaa.
Majini wanatembelea ramani ya nasaba
Hapo anapiga na wateja wa hizo nchi tajwa ambao pengine nao wanatakankwenda south!
Sidhani kama tz zambia zim atapata abiria wa kutosha on weekly or daily basis
Zipo ila wanapitia mazingira magumu!
I have a female friend indian married to mswahili of Zanzibar origin they had to have a government mariage as their culture wont allow it and they have to elope abroad!
Hivi kwa nini hawa waponyaji wa miujiza hawana huruma?
Waende ti mahospitalini kwanza waanze pale ocean road kwa wagonjwa wa cancer.
Wawashughulikie wenye maradhi ya figo ,moyo waende mirembe wakawatoe mapepo ya wazimu wagonjwa wa akili
Wapitilize mpaka bumgeni wakawatoe maradhi ya unafiki...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.