Enyi Wanadamu, Mtafakarini Mungu na kuachana na Tamaa za Mwili. Hata ukifanya Ngono vipi huwezi kuridhika na utatamani zaidi tu! Hebu mwangalie suleimani aliyekuwa na wanawake 1000 lakini mwishoni alikiri ni kama kufukuza Upepo! Kuna aliyepata medali ya kuzini isipokuwa Mauti tu?
Mishahara wanayolipwa hawa 'vihiyo' hupelekwa nje ktk nchi zao, ni uporaji wa ki-haina haina!. Ni vema viongozi wetu watunge sera zinazolinda ajira kwa ajili ya wazalendo. Wazalendo hawana pa kwenda. Hawa watanzania wa kawaida ndio mtaji wa taifa hili. Mbona kwenye uchaguzi wanatunyenyekea...
Basi tutakapoungana nchi za africa mashariki, watanzania wengi wanaweza kupoteza hata hizo kazi walizo nazo. Wakenya watakubali kuwa cheap labour mwanzoni ili kumeza nafasi zote, hafu wengi tunaenda kuchunga ng'ombe(monduli) au kulima mbamia (tanga). Mungu atusaidie!
NINACHOONA NI KUWA HAKUNA WATU WENYE UCHUNGU NA HII NCHI. Unapomwajiri mgeni na wenyeji wapo, wenye sifa zote, mimi sipati picha, inamaana wabongo hawaaminiki, yaani ni matapeli au. Waangalie wachina walivyojaa, hata watoto wa kichina + kitanzania wapo sasa hivi mitaa ya buguruni etc...
Wageni wanaoletwa nchini kufanya kazi kama expatriates ni mbumbumbu wa kutupwa. Eti utamwona mhasibu katoka india hajui hata kazi ya uhasibu huku Cv yake inaonesha ana masters. Kunani huku!! Ninavyoona hata baadaye wauza vitumbua watatoka nje km expats!!!!!!! :mad2:
Kuna baadhi ya watu wanaoambukiza-ambukiza virusi vya ukimwi makusudi-cally. Je, Wana JF, sheria kwa sasa inasemaje. Kuna mama mmoja amefiwa na mmeo kwa hilo gonjwa hafu yeye anahama maeneo anayojulikana na kujichimbia asikofahamika hafu kazi yake ni kusambaza tu. Naomba ushauri ili niwatume...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.