Sometimes upinzani ni total contradiction,hawakumtambua JK mwaka 2010 na km kawa wkt wa uzinduzi wa bunge walitoka,wakiwa kwenye mijadala,hoja nk wanamtaja JK km Rais ni sawa na ngonjera ya EL jana fisadi leo sio fisadi NI VEMA KUWA CONSISTENT NA MASUALA/HOJA TUNAZOAMINI NI SAHIHI BILA KUPELEKWA...
wajuze bwana,kuna baadhi ya wana timu ya kampen ya ccm ni wagombea ubunge bulembo hana jimbo so wataendelea kuungana nae kutegemea mwanatimu yupi aliyepo karibu na eneo la kampeni...kwa bahati mbaya 80% ya wapigakura ht jf,fb nk hawazijui...anzeni kujiandaa kisaikolojia kwani JPM ndo Rais wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.