Salam kwenu wakuu
Je ni kweli kilowatt zinazoandikwa kwenye mafrige ni za kweli kuanzia ni nunue kifrige changu tena kipya matumizi ya umeme ya mepaa sana
Kimeandikwa kwh113 kwa mwaka am ago ukigawanya kwa siku ni uniti 0.3 lakini inakula karibia unit 2
Nimekuwa mnywaji nisiye na kiasi, hivyo naona pombe siyo salama tena kwangu, hivyo kuanzia leo Jumatano tarehe 25 August 21 nimeamua kuacha pombe bye bye Safari lager
mfumuko wa bei
doble taxation hapa anawakamua sana wananchi, madhara yake ni kupungua mzunguko wa pesa, uzalishaji
deni la taifa limeongezeka kwa zaidi ya asilimia 10
Wazimbabwe wanakampuni ya kutengeneza simu inaitwa gtel
https://gtel.co.zw/
Brand zao za simu ni infinity8s
X7plus na pro
Kwamujibu wa wikipedia
https://en.m.wikipedia.org/wiki/GTel_Zimbabwe
Inadai mwaka 2014 ilitengeneza simu nyembamba kuliko zote duniani
Inasikitisha kuona viwanda vikifungwa na kugeuka magodown, viwanda vingi maeneo ya njiro vimefungwa, huku mamia ya watu wakikosa ajira, Kwa mfano kiwanda cha general tire kulikuwa na dalili za kukifufua na wawekezaji ambao walikuwa wageruman walikuwa tayari lakini sijui wamekwama wapi, Kuna...
Sayansi imesaidia Sana KWA kiasi kikubwa kukabili uhalifu, Hasa KWA nchi zilizo endelea, pia imesaidia kupunguza wanaokwenda gerezani bila hatia, hapa naongelea maswala mazma ya kibiometric, Kama fingerprint, facial recognition, retina, dna,
Hapa kwetu bongo inashangaza , bado ukienda kwenye...
Katika hali isiyo ya kawaida,
Askari wa Suma JKT, wilayani Arumeru, ambao wanafanya Kazi ya ulinzi wa msitu wa Mlima Meru katika eneo la Bangata, wamepiga risasi ya kichwa Mwananchi mmoja ambaye alikuwa shambani, akilima mchana wa Leo tarehe 23/11/2020, inaelezwa kuwa, kulikuwa na mzozo Kati ya...
Wakuu naomba mbili tatu za hii kozi
Soko lake kwa Tanzania
Ajira zake ni zipi na wapi?
Ugumu wake
Je Kama kunauwezekano wa kubadilisha na kwenda kozi nyingine?
Kuna aina mpya ya choo ambacho kimekuja, ambacho hakiitaji uchimbaji wa shimo au maji ya kuflash
Pia wataalamu wanadai ni kiboko ya harufu, yaani hauwezi kuhisi harufu ya gogo,
Mwenye ujuvi zaidi atuelimishe
Ufanyaji wake wakazi
=======
The City of Syracuse Chose Sun-Mar to Protect Its...
Wanasayansi wamegundua uwepo wa gas ya phosphine, kwenye mawingu ya venus , wamehusisha gas hiyo na uwezekano wa uwepo wa viumbe hai Kama [emoji89] bacteria wadogo wadogo ambao huwa wana ustahimilivu wa mazngira magumu
Sent from my CPH1803 using JamiiForums mobile app
Wakuu mzee mengi kabla ya kuondoka, alikuwa kwenye mkakati wa kuanzisha kiwanda cha simu janja na kingine cha magari na tuliona alikuja na wawekezaji, Je, ndiyo mpango wake ule umeondoka naye au bado mchakato unaendelea!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.