Nimekaa na kufikiria kwa KIPINDI sasa,mwisho Nimegundua ukweli kuwa tatizo la wasomi Tanzania BADO lipo.
Kwa akili yangu, mtaalamu ni mtu huru asiye na ushabiki Wala upande kwa nafasi YAKE ya utaalam.
Mfano, daktari bila kujali Hali ya mgonjwa anastahili kuokoa MAISHA YAKE kwa kumtibia kwa...
Nimekaa na kufikiria kwa kipindi sasa,mwisho nimegundua ukweli kuwa tatizo la wasomi tanzania bado lipo.
Kwa akili yangu, mtaalamu ni mtu huru asiye na ushabiki wala upande kwa nafasi yake ya utaalam.
Mfano, daktari bila kujali hali ya mgonjwa anastahili kuokoa maisha yake kwa kumtibia kwa...
Nimekaa na kufikiria kwa KIPINDI sasa,mwisho Nimegundua ukweli kuwa tatizo la wasomi Tanzania BADO lipo.
Kwa akili yangu, mtaalamu ni mtu huru asiye na ushabiki Wala upande kwa nafasi YAKE ya utaalam.
Mfano, daktari bila kujali Hali ya mgonjwa anastahili kuokoa MAISHA YAKE kwa kumtibia kwa...
Kama ningekuwa mshauri WA mzee Pinda ,ningemshauri apumzike, abaki kuwa mshauri(kisima cha BUSARA) kwa CHAMA, sio kuingia ktk vikao vya kazi na VIJANA, siku wakipinga michango YAKE ktk vikao vyao atakosa AMANI, angewekwa ktk kikao cha wazee wenzake cha ushauri
MUDA utasema,tusubiri na kuangalia pamoja na kumtakia MEMA MAANA tukumbuke YEYE NI Katibu MKUU WA CHAMA tawala, tukimtakia MABAYA MAPEMA yawezekana yakawa MABAYA ya Taifa ZIMA! (tufikiri Mara tatu zaidi)
Una FIKRA nzuri Sana, sijui Kama WEWE unayo Dini?kama unayo Dini jiulize Dini YAKO inayo madhehebu Mangapi? UKIPATA jibu TUMIA Kama reference ktk VYAMA vya SIASA!
KARIBU Sana ktk SIASA
Tusubiri tuone ,KILA CHAMA KINA mfumo wake WA kupata VIONGOZI, Kwetu Sisi NI KUONA anakuja Nani wa kupambana nae! Akaribie ajaye ,Akifika ulingoni atajua MAANA na UONGOZI na siasa za TANZANIA.
Hakika ,dhahiri Nelson Mandela alijaa busara kubwa ,sio RAHISI kwa mwanaume kumweleza mwenzie aendelee KUTIMIZA matendo yake ya kimwili lakini iwe siri asifanye WAZI ktk jamii !!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.