Wanajamvi naombeni msaada mzee wangu anataka achukue mkopo.....salary yake 900k takehome naombeni mchanganuo wa ni anaweza kopeshwa maximum kiasi gan kwa slip hyo hapo. Na kutoka bank ipi...?
Mzee wangu anataka achukue mkopo ....ana salary ya 900k.....naomba wanaojua wanipe mchanganuo wa maximum amout anayoweza kukopeshwa na kwa benki ipi.....ana miaka 7 tu asitaafu kazi.....ushauri naouomba ni kias gani cha juu anaweza pewa?
kwa nilivokuelewa mkiwa na majimbo mengi ndvyo na vti maalum vnavozdi kuwa vingi na kwamba idadi ya majimbo mlopata ndo inalimit idad ya vt maalum... Mkuu em fafanua uwt ni nn??
Wana jamvi nisaidien utaratibu wa jinsi ya kuwapata wabunge wa vitu maalum! wanateuliwa na rais kwa utaratibu upi na vigezo gani.
Je ni kulingana na uwioano wa majimbo waliyochukua chama tawala na vyama pinzani?au mh.anateua tu randomly?
Mwenye uelewa juu ya utaratibu huo aweke hadharan
naomba contacts zako mkuu nikutafte....maana simu ilikuwa ina runn slow sana nikaamua kui restart ilipozma haikuwaka tena mkuu..sasa ttzo litakuwa nn hapo mkuu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.