Tena huyo Geodarvie, nahis anawatoa akili waumini wake. Maana ukiwa timam sidhani Kama unaweza kumuamini na kumuelewa, eti anawaambia waumini wake waandike shida na maombi yao kwenye karatasi kisha wakusanye kwake, na watajibiwa PAMBAF,
Namkubali sana k.lugola. nashauri asiogope, aendelee kusimamia ukweli. Kama wakimtosa kwenye kura ya maoni ccm atapita kupitia ukawa. Naamini anamengi moyoni mwake lakini anahofu kuyatoa kwasababu tu! ni chama chake.
Hata mimi nilikua nakipenda sana enzi hizo lakini kwa ujumla wa vitendo vya viongozi na watu wake wa sasa kwa ujumla siwezi fumba macho na kuziba masikio eti nijifanye siyaoni yale yanayo fanywa na ccm. Kwa sasa siipendi hata kidogo.
Ninapo ona mtu anasingizia rugha ya kigeni (ki ingeteza) kujifanya ndiye anajua kitu' huwa napuuza yote aliyo maanisha labda tu niamini mtu huyo siyo MTanzania.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.