Kuna mambo ya hovyo yanafanywa na watu nchi hii bila kufuata sheria Wala taratibu wakati huohuo mamlaka zinaangalia tu!!! Ajabu! Haya ndiyo niliyoyashuhudia Stand ya Magufuli Mbezi.
1.Nauli holela
Dar - Mwanza nauli ni kati ya 40,000-50,000 kutegemea na daraja la bus. Kipindi hiki ukienda...
Hello JF memebers,
Kama somo linavyojieleza hapo juu, naomba wazoefu/wajuzi wa magari wanijuze kuhusu aina hii ya gari. Navutiwa kuinunua kwa sababu napendezwa sana na muonekano wake na namna ilivyo. Lakini nisingependa kuwa na gari ya kunipa stress as maisha yenyewe ya kibongobongo ni stress...
Habari JF,
Nianze kwa kuwapongeza wote mlioshiriki na mnaondelea kushiriki katika mijadala mbalimbili kwenye majukwaa tofauti hapa JF na hata nje ya hapa. Mwaka ujao 2014 tuzidi kuendelea na utaratibu huu wa kuibua hoja na mijadala mbalimbali kwa mstakabali wa Taifa hili ambalo sina shaka wote...
Hello The JF Drs.
Naomba ushauri kuhusi hili tatizo:
Ni kama miezi miwili sasa I am experiencing kama naungua moto hivi sehemu ya nyuma mugongoni kuanzia sehemu ya shingo hadi mitaa ya kiunoni. Mwanzo nilifikiri labda ni stress lakini naona tatizo liko constant. Sababu inaweza kuwa nini na...
Hello Wana JF, Wataalam Wa ICT Naomba Msaada Was Software Nayoweza Kutumia Kutengeneza Passport:
Wedth 132 Pixels
Urefu 185 Pixels
Ukubwa wa Picha Usizidi 4KB
Resolution Iwe 72 Pixels per inchi.
Please, tusaidiane vyema.
Hello Wana JF, Wataalam Wa ICT Naomba Msaada Was Software Nayoweza Kutumia Kutengeneza Passport:
Wedth 132 Pixels
Urefu 185 Pixels
Ukubwa wa Picha Usizidi 4KB
Resolution Iwe 72 Pixels per inchi.
Please, tusaidiane vyema.
Huu ni ujumbe wao unaosambazwa kwa kasi sana kwenye mitandao na simu baada ya Serikali kutupilia mbali mdai yao ya msingi:
"Ndugu Mwalimu, katika somo au masomo yako hakikisha humwandai mwanafunzi kupata A,B,C wala D. Mwandae katika kiwango cha F kwa sababu hata akipata A juhudi zako ni sawa na...
Habari wan JF
Mimi ni Mhitumu wa shahada ya kwanza Chuo kikuu cha Dar es Salaam. Baada ya masomo ya degree yangu ya kwanza nikapata kazi Iringa. Katika kuangalia mstakabali wa kujiendeleza nikaamua kujoin na kusoma Postgraduate Chuo Kikuu cha Tumaini - Iringa.
Mwaka jana 29th October 2011...
Waungwana Habari! Nina kijana wangu (Male) amemaliza form four mwaka huu na kapata kama ifuatavyo
Civ = B
Hist = C
Geog = C
Kisw = C
Engl = C
Bio = D
Comm = D
B/Keep = D
B/Math = F
Nataka kumpeleka asome mojawapo kati ya comb za Arts shule ya Private lakini boarding. Shule gani zimekaa sawa...
Kuna ticha mmoja ambaye alikuwa katika mafunzo kwa vitendo. Siku ya siku assessor alikuwa anakuja kwa ajili ya kuangalia swala zima kama kijana kaiva kwenye vitendo. Mwalimu huyo aliandaa zana zote za kufundishia na kujifunzia (teaching materials and teaching and learning aids). Lakini alisahau...
Jambo!
Wana JF, heshima kwenu! Napenda kupata details za hii kampuni ya Uniliver (I know its a multinational company) especially range ya salary zao na mabenefits mengine? Pia mazingira ya kazi zao?
Najua hapa jamvini ni full kwa kila kitu.
Naomba kuwasilisha.
Wan JF, Mimi ni kijana mwenye umri wa kutosha tu, karibia miaka 30 kasoro 1. Kila kona, kila siku, kila mara stakeholders wananiuliza "unaoa lini?". Nimechoshwa na hili swali kwani kwa sasa chini ya utawala wa MAGAMBA sioni nafuu ya maisha kujipa majukumu ya ndoa. Jawabu langu kwa sasa kwa kila...
Wana JF, naomaba tafadhari nieleweshwe....Hivi wanawake sex maniac ndo wanasifa zipi. Kuna kakazi nimekapata sikaelewielewi! Please react positively and be optimistic to this. I need your help.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.