Nkuna fursa nimeikia kwenye redio ikitangazwa juu ya kilimo cha mihogo. Fursa hio inaletwa na wachina wao wanasema watakupa mbegu bure awali utalima na watanunua mihogo toka kwako wao wenyewe.
Mihogo hiyo wanatumia kutengeneza starch vyakula vya kuku nk. Kama kuna mdau yeyote mwenye contact za...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.