Search results

  1. liz2475

    Vifaa vya Bakery Used Vinauzwa

    Nauza vifaa vya bakery ambavyo bado vinatumika kwa sasa. Napatikana Kigamboni, Dar es Salaam. Tel. 0754 801 402
  2. liz2475

    Imenikuta katika kutafuta kazi

    Hata mimi yamenikuta nafikiri ni watu hao hao mmoja anayejiita Mr. Haule anatumia no. 0656 009 696 jana amenipigia kuniomba nimpigie kwani ana deal laku supply mikate anataka kuniunganisha na mtu ambaye ndiye muusika mkuu. Nikamwambia nipo barabarani ila nikifika ofisini nitampigia. Mambo yakawa...
  3. liz2475

    Filikunjombe, Ludewa kuzuri hivyo jamani!

    Enzi hizo watu wengi wa Njombe na mikoa mingine ya kusini walikuwa wanaenda Tanga kufanya kazi kwenye mashamba ya mikonge, inasemekana babu yake Mh. naye alienda huko lakini hakurudi na chochote baada ya kufanyakazi muda mrefu huko na alipokuwa akiulizwa mali/vitu ulivyokuja navyo viko wapi...
  4. liz2475

    Kiwanja kinauzwa bagamoyo (medium density)

    Oops! Thanks for pointing out the typo. Its 17m @ LAT
  5. liz2475

    Kiwanja kinauzwa bagamoyo (medium density)

    Kipo Ukuni, Bagamoyo, mita 200 kutoka barabara ya Dar-Bagamoyo. Ukubwa wa Sq 628 @ Tshs. 17m Kimepimwa na kina document zote halali. Upo msingi wa nyumba ya vyumba vitatu, dining, etc. MIDDLEMEN ARE NOT ALLOWED. Only Serious Buyers Should Contact me on dcoletha@yahoo.com
  6. liz2475

    CONFIRMED: Halima Mdee wins Kawe Constituency

    Chadema juuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu. CHAMA CHA MABANGO chiniiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
  7. liz2475

    CONFIRMED: Halima Mdee wins Kawe Constituency

    Wera weraaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa. Big up Halima tulitegemea. People's power.
  8. liz2475

    Ephraim Kibonde Jahazi Show

    Sijui wife na watoto wake wakisikia baba yao anavyoongea pumba wanajisikiaje. Yaani ni aibu aibu tupu. Jirekebishe Kibonde, au hilo DOMO ndio linalokuweka hapa mjini??
  9. liz2475

    Tonny Ngombale Mwiru afikishwa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu

    Mwenyekiti wa Vijana Kata ya Kijitonyama Ismail Mwenda, akipokea sehemu ya mipira 50 kutoka kwa Mgeni rasmi Ridhiwani Kikwete kwa ajili ya kusaidia timu za soka kwa matawi 9 ya Kata ya Kijitonyama. Mipira hiyo ilitolewa na Kamanda wa Kata ya Kijitonyama Tony Ngombale Mwiru (kulia) na Naibu...
Back
Top Bottom