Hii ni biashara Mkuu thamani iliyopo ni Kwa kuwa Hilo sio pori hiyo Ina miundombinu na Ndiyo maana imefikia hapo . Na documents Halali Zipo ukitaka kulima sawa au unataka kuishi pia sawa inauzwa Kwa masharti hayo niliyosema
[emoji230] Nauza Shamba Ekari 1500
[emoji424] Lilikuwa linatumika Kwa ufugaji wa ng'ombe wa kisasa wa maziwa(linafaa pia kuweka ranch ya mifugo)
[emoji2515] LINA NYUMBA ZA MAKAZI yenye vyumba 4 vya kulala
[emoji117][emoji609] Ukinunua Unapata trekta na miundombinu mingine
[emoji117][emoji230]...
Tunaomba Msaada Rais Samia Utusadie wahitimu wa Social Protection kupata fursa za Ajira serikalin
Kwanza nianze Kwa kupongeza utendaji kazi wako Mh Rais umekuwa mwanga na Tumaini la wengi ikiwemo sisi wanafunzi wa vyuo vikuu umekuwa na jitihada za kutoa Fursa za Ajira Kwa vijana ila kwa wasomi...
Tunahitaji kuwekeza kwenye Elimu na kuwekeza katika Economic propaganda nzuri yenye kushawishi watz wajue uchumi wa Nchi yetu utaletwa na watz wenyewe na kuondoa ile inferiority complex tujiamin na kujenga taifa letu
Ni bonge la mradi mzuri unatakiwa tu kuwekezwa pesa ya kutosha na new technology katika utengenezaji afu upo chini ya usimamizi wa watu ambao asilimia 80% ni wazalendo , Kwahiyo uwezekano wa kufanikiwa ni Mkubwa zaidi
Kule sio kwenda kutafuta ajira nenda kajitolee kulitumikia taifa maslahi weka pembeni kwanza ila uzalendo ndiyo utangulie uwe kitu cha kwanza na cha muhimu kupita akili za kuwaza kupata pesa.
Nenda mkuu ni ndoto nzuri ukifanikisha
Aisee tokea nimemaliza chuo nimekuwa nasubir kwa hamu hii nafasi na nilikuwa natamani sana kujiunga na kulitumikia taifa langu si kwa sababu ya ajira( kuna biashara za familia) ila ni kwa sababu moyo wangu napenda kuwa sehemu ya kizazi kilichojitoa kulinda Taifa langu . ila tatizo huo umri...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.