Kuna halmashauri iko mkoa wa KIGOMA kwa kweli watendaji wake hawafai hata kidogo. Hivi karibuni Mwenge ulipita kuzindua madarasa ya UVIKO 19, sasa kwa kuwa yalijengwa chini ya kiwango ilibidi yakarabatiwe upya ili kiongozi wa Mwenge asije akayakataa. Wakatindua sakafu yote na kuweka nyingine...
Mimi nalitazama hill swala kwa pande mbili, upande was chanya ; njia hii ikitumika itasaidia mwajiliwa kuchagua halimashauli anayopenda kufanyia kazi kuliko hivi sasa ambapo wengi hupelekwa halimashauli wasizotaka hivyo kuanza kuomba uhamisho.
Pili njia hii itasaidia kutatua tatizo la uhaba wa...
Unaonaje hao walio kwenye tasisi binafsi waajiriwe ili ambao hawana wachukue nafasi katika hizo tasisi?..mana naamini hao walio kwenye tasisi binafsi wanao uzoefu kuliko ambao wamejikalia tu bila kujishughulisha.
Halafu unazijua changamoto za shule binafsi au unazisikia! Mshahara kiduchu na...
Eti wanaojitolea ndio kipaumbele! Huu ni utapeli wa kiwango cha sgr. wakuu wa shule & wakurugenzi wanafoji majina ya watu wao ili wapate ajira...kuna mtu alikuwa anajitolea shule Fulani kabla hata hajaenda chuo kusomea ualimu eti nae kachomekwa. Tamisemi wanatengeneza mazingira ya rushwa sio siri
haaa! haya nayo ni makosa?....amakweli hamjaamini mwendazake keshaenda, labda atatafufuka lakini pia katiba haisemi akifufuka nini kitatokea. tujifunze kukubali tu
Ukienda kwa wakurugenzi sasa ndo utashangaa.kuna mkurugenzi ktk halimashauli flani mkoa wa Mara ni form four kabisaa. bahati nzuri anasaidiwa na afisa utumishi kuendesha mambo yake.alipataje uteuzi,usiniulize!
Kura zote zilizopigwa zikikuwa halali,maana hata amabae hakwenda kupiga kura ALIPIGA KURA tena alimpigia magufuli ba genge lake.hapo mahakama itaamuaje!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.