Hili lilikua dili la serikali kupata pesa huko japan hata ukiwa unaendesha gar unaweza ukaswitch tv ukaangalia taarifa ya habari sasa huku hadi mabasi yanafungwa madishi ya azam sasa huu si zama za mawe
Ume
Hiyo ruzuku umeisikia wapi kwamba inapewa mmezoea tende za bure unafikiri kila taasisi inapewa vya bure nenda na mgonjwa wako pale kama mlivyozoea vya bure ukajielezee vizuri kama huna uwezo uone kama hautatibiwa bure
Kupewa tende bure ndio usikose hata akili za kufikiria, hospital inawafanyakazi 1500 then serikali ndio ilipe mishahara ya wafanyakazi wote utakuwa unakichaa cha madrasa wewe taasisi inajitegemea yenyewe serikali imesomesha watu imekosa kwa kuwapeleka ndio maana inasambaza madaktari wenye hizo...
Kumbe akili hauna nani amekwambia wanachukua hela ya Serikali uliza uambiwe usikurupuke we unadhani KCMC kupewa mitungi hiyo ni kwamba ilikua haina mitungi yake au? Unajua kwa ukanda wa Kaskazin yenyewe ndio moja ya hospital inayozalisha oxygen yake na kusambazia hospital zingine kwa hiyo...
Kuna jamaa akamwambia dogo wa form one aende kwa Mabagala akamwambie mwalimu naomba bagala moja dogo alikua hajui jina la mwalimu, Nampanda anakuambia nakupiga uende nyumbani kwenu ukamwabie dadako/mamako kwamba me ndo Nampanda hahaha yule mzaramo alikuwa na maneno sana ijumaa ikifika analeta TV...
Habari wakuu, Swala la kupenda gari na kutunza ni kipaji ambacho watu wachache wamejaaliwa hii unaikuta kwamba magari ya aina moja yalioagaizwa mwaka mmoja limoja linakua linamuonekano mzuri kuliko lingine na hii inatokana na utunzaji tulivyotofautiana.
Siku ya leo tujadili vitu ambavyo unaweza...
Namuunga mkono mtoa mada ila nadhan kabla ya kuunganisha tungeanza kwanza kwa kuplan kujenga miundombinu na miradi mikubwa nje ya mji mfano Arena, Uwanja wa Mpira bandari kavu, pia kuliko watu wote tuende kariakoo tuache kariakoo iwe soko la nguo na electronics na ijengwe kariakoo nyingine iwe...
Hilo swala ni kweli kabisa na huwa wanapiga picha hapo maeneo ya uchira sijui then unakamatiwa njia panda hata leo walikuwepo na ukicheki zile picha vizuri huwa wanapiga ukiwa umeshavuka kibao cha kuruhusu 50 na hapo unaanza kugain momentum ya speed ndo wanakupiga picha tulishatokewa hivyo mara...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.