Jamani naomba msaada kwa wale ambao wanafanya application juu ya Ajira za walimu zilizotangazwa juzi kati, Sasa nimeappload academic transcriptl lakini nikiviewe naambiwa ni nimeappload Grade A certificate,sasa hii Grade A certificate ndo transcript au? Maana sielewi,hata kwenye zile options za...
Je! ni faida zipi wanazozipata wanasaikografia,walimu, wanafunzi na matabibu matamshi pale wanapojifunza taaluma ya Fonetiki inayohusiana na alama za kifonetiki ?
Mimi nimekuja hapo duce kutaka kujisajili na nimepangiwa pale kwa njia ya transfer lakini wametuambia bado majina ya waliopangiwa pale kwa nija ya transfer TCU hawajayapeleka na wala admission letters zetu bado hazijafika ila wakatuambia tunaweza kuendelea kusoma sasa hapo inakuwa ngumu kwa...
Ndugu yang hata mim xjaelewa ila nimeamua kwenda nilipohamia nahc hukohko nitajua utaratibu ukoje maana nikisema tena niwasubirie TCU nitakauka machozi
Wapendwa naandika shukrani hii na ninyi pia mkiona ni sawa mnaweza kuungana nami kumshukuru Mungu,
Naandika shukrani hii bila kuzingatia vigezo vya kidini au itikadi tulizo nazo katika imani zetu,Mimi ni miongoni mwa watu tuliofanikiwa kupata majibu mazuri ya transfer kutoka chuo kimoja kwenda...
Tanzania Commission for Universities
CLARIFICATION ON THE TRANSFER PROCESS
The Tanzania Commission for Universities (TCU) would like to clarify to all the prospective students who applied for transfer to various undergraduate
programmes across institutions and the general public that the...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.