Habarini sa asubuhi wapendwa!naomba kujua nasikia matokeo drs la saba yametoka nimehangaika kuingis ktk web ya necta siyaoni sasa naomba mwenye kujua link anipe nimchekia kijana wangu.
Hv jamani kwa hali tu ya kawaida mtu unaondokaje kwa mwajiri wako miaka mitatu bila kuaga?kama ni kusoma mbona waajiri wanaruhusu?then ukimaliza unafanya hiyo michakato ya recategorization?
Jamani kuna huyo ndugu yangu namleta kwenu kwa sifa tajwa hapo juu na kwa kuongezea anayo leseni,anatafuta kazi ya udereva magari yeyote anaendesha,hvo ukiwa wewe mwenyewe rafiki,ndugu yako au rafiki yako anahitaji dereva tusaidiane kwa hili please ,!yeye anapatikana Dar es salaam. Lakin pia...
Habarini wadau,ninaomba kupewa uelekeo kwa wenye uzoefu huu,kama ninakwenda mkoani geita kutokea mikoa ya kaskazn hususani Arusha kwa mabasi ni njia gani wanatumia,na naul ni sh.ngapi?Tafadhali
Kwi!kwi!kwi!jaman?ni bora ungemnunulia ua angefurah kuliko hilo licherehan ungetaka ushaur kwanza jaman.mana kumnunulia hyo umemkatia tamaa kama hatoajiriwa?
Habarini wadau,
Mimi ninakerwa sana na hawa wenzetu, kwani yamenitokea una kuta unampenda mtu kwa dhati na una nia nae nzuri tu,lakini akigundua hivo maringo yanazidi hadi kuboa, wakati swala la mapenzi na la wote.
Kwanini hivi jamani?Niwape tu mfano kuna dada mmoja amekuwa na hiyo kawaida...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.