Search results

  1. S

    Natafuta Kazi Niko Jijini Mwanza

    Toa msaada maswal mengi ya nn?
  2. S

    hawa jamaa wa british center wa kwa azizi ali wanatoa ajira gani?

    Hahahaaa!A na B sahihi hao jamaa ndo hvo hvo ninawafahamu vzuri sana na pale kwa azz ali walianza karibu miaka kumi ilopita
  3. S

    Mwl.hamia Bahi nije morogoro popote au pwani.

    Husika na kichwa hicho cha habari,nina mdogo wangu ni mwl wa sekondar yupo bahi Dodoma anataka wa kubadilishana nae maeneo kama hayo msaada wadau.
  4. S

    Utumishi kwanini wamefanya hivi?

    MUNGU ni mwema mm naamini mtairwa tu tena zaid ya hzo nafas zilizobaki,watakuwa wanaweka mambo sawa mtaitwa tuu
  5. S

    Wale waliopangiwa na utumishi sikonge tukutane hapa

    Hayo mambo ya kuanza kukusanyana yamepitwa na wakati ilikuwa zama.za kwenda kuripot shule
  6. S

    Samahani naomba kuuliza

    Habarini sa asubuhi wapendwa!naomba kujua nasikia matokeo drs la saba yametoka nimehangaika kuingis ktk web ya necta siyaoni sasa naomba mwenye kujua link anipe nimchekia kijana wangu.
  7. S

    Msaada--nataka kurudi kwenye kazini serikalini!

    Hv jamani kwa hali tu ya kawaida mtu unaondokaje kwa mwajiri wako miaka mitatu bila kuaga?kama ni kusoma mbona waajiri wanaruhusu?then ukimaliza unafanya hiyo michakato ya recategorization?
  8. S

    Msaada; nafasi hii ya kazi

    Mh!hakuna kitu kama hcho huo ni utapeli.
  9. S

    Naombeni kuuliza jamani.

    nashukuru rafiki keep it up!
  10. S

    Ni dereva mwenye uzoefu anatafuta kazi.

    Jamani kuna huyo ndugu yangu namleta kwenu kwa sifa tajwa hapo juu na kwa kuongezea anayo leseni,anatafuta kazi ya udereva magari yeyote anaendesha,hvo ukiwa wewe mwenyewe rafiki,ndugu yako au rafiki yako anahitaji dereva tusaidiane kwa hili please ,!yeye anapatikana Dar es salaam. Lakin pia...
  11. S

    Mabinti wawili wanatafuta kazi ndani

    Ama kweli mjini shule shamba darasa.
  12. S

    Naombeni kuuliza jamani.

    Natarajia kutokea Arusha ndugu yangu.
  13. S

    Naombeni kuuliza jamani.

    thanks be blessed
  14. S

    Naombeni kuuliza jamani.

    Habarini wadau,ninaomba kupewa uelekeo kwa wenye uzoefu huu,kama ninakwenda mkoani geita kutokea mikoa ya kaskazn hususani Arusha kwa mabasi ni njia gani wanatumia,na naul ni sh.ngapi?Tafadhali
  15. S

    Kuna ubaya gani kumpa zawadi hii?

    Kwi!kwi!kwi!jaman?ni bora ungemnunulia ua angefurah kuliko hilo licherehan ungetaka ushaur kwanza jaman.mana kumnunulia hyo umemkatia tamaa kama hatoajiriwa?
  16. S

    Siri nzito juu ya rafiki yangu

    Hayakuhusu ukikaa kimya kp kinapungua?
  17. S

    Vifaranga vya Bata

    Vifaranga wewe ni wa nini wale unachukua wakiwa tayar wakubwa majike wawili dume moja uzao mmoja tu banda linajaa.hao vifaranga watakucost bure.
  18. S

    Wadada punguzeni maringo hasa mnapogundua mnapendwa

    Habarini wadau, Mimi ninakerwa sana na hawa wenzetu, kwani yamenitokea una kuta unampenda mtu kwa dhati na una nia nae nzuri tu,lakini akigundua hivo maringo yanazidi hadi kuboa, wakati swala la mapenzi na la wote. Kwanini hivi jamani?Niwape tu mfano kuna dada mmoja amekuwa na hiyo kawaida...
  19. S

    Mapenzi ni kitu gani? Wakiwa nje wanashikana mikono wakiwa ndani ugomvi hauishi

    Ndio mapenzi yanavyotakiwa si kutoa mambo hadharani
Back
Top Bottom