The boy!
Kitabu kizuri sana kuhusu maisha na utafutaji, kuna wakati nilijua Santiago baada ya kukutana na Fatima story ingeisha kumbe bado.
Kuna maoni pale kwamba mali tunazotafuta mbali zipo kwenye milango yetu.
Sehemu nzuri kwangu ni pale walikamatwa, Alchemist akasema, Santiago anaweza...
Pole!
Naona una taarifa chache sana kuhusu hili suala hujachimba vizuri kufahamu hata mwenendo wa kesi, unasema hukuruhusiwa hata kusikiliza umekuta hukumu tayari na nakala huna.
Tafuta mtu wa kukusaidia kwanza kujua mwenendo mzima wa kesi, upelelezi mpaka hukumu, umesema huna hela ni...
1. Pazia Jeusi- Roho Saba.
2. Mtoto wa Kiume- Mabovu.
3. Yote Maisha- Madee Ft P.Funk.
4. Jina Langu- Profesa Jay
5. Mtazamo- Afande Sele
Ya Ziada:
1. Sugu Moto Chini- Mr II
2. Mwana Mkiwa- K- Sal
3. Mwanza Mwanza-Farid Kubanda
4.List Goes On...
Unaona? Mambo hayo sasa?
Mhubiri amemaliza kila kitu
Tuwe humble tu
Mimi nimesema nimekumiss kule
Kumbe huku nimemisiwa pia
Baby this love's too strong
Boss hii post umeipandisha tarehe 15 December, Siku yangu poa.
Sikuiona hii ila nilikua barabaran pia
Feeling ya kulewa kidogo, stress nyingi, mambo hayaendi, baridi kali na kijani kibichi nje ya barabara.
Ila burudani na replay John Dever "County Road" take me home
To the place I belong
West...
Mahabuba, hujaachaga kuongea point tu!
Haya Maisha Bwana, sometimes kupata jambo sio kwa sababu ya Jitihada sana kwenye haya mambo kuna watu wanapambana sana mpaka hizo 40+ lakin hola, na kuna wengine wamerelax ile under 22 mambo yananyooka tu!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.