ni jambo la busara kama msajili ameamua kufanya hiyvo, si kwa CCj tu bali kwa waTZ wote wapenda demokrasia. kwa muda uliobaki mpaka uchaguzimkuu, CCJ haiwezi kuleta upinzani mkubwa wakiruhusiwa kushiriki, bali wakinyiw haki ya kushiriki ndio uchaguzi utavurugka...
katika harakati za viongozi wa CCM wilaya Lushoto kumnadi Bwana Januari Makamba na kuwashawishi wananchi kumchagua, kampeni za kabla ya wakati zinaendelea ikiwa ni pamoja na vipepelushi vyenye jina la ofisi ya raisi kutumika.
namba iliyokuwepo kwenye kipepelushi ni ya Mwenyekiti wa UVCCM bwana...
Napenda kutoa taarifa za kusikitisha za kuondokewa na mwanachama,kada na kiongozi wa CCM kata ya mgwashi jimbo la bumbuli,Mama Krista Sheshe, aliyekuwa katibu wa CCM kata ya mghwashi, wilaya lushoto jimbo la bumbuli.
Marehemu Krista amefia hospitali ya wilaya Lushoto baada ya kuugua kwa muda wa...
hongera mkuu, nakutakia kila la kheri.
Nataka nikujulishe tu kuwa kwa sasa jimbo la Lushoto mjini linashikiliwa na Mh Mshangama, ni kipindi chake cha kwanza yule Mh umri umesogea sana lkini bado anataka kuendelea, wakati Mshangama anachukua jimbo alifanya mambo mengi sana kabla ya kuingia ikiwa...
msanii,
wewe ndio unayeleta udini hapa, hebu tazama hayo mabank yote yalioanznisha Islamic banking original yake....sio waislam, ila niwafanyabiashara wameona busines opportunity hao wanataka kutumia, na sio lazima, ni option kama vile unavyochagua aina ya account unayotaka kufungua na...
By. M. M. Mwanakijiji
this is our main problem, these "leader" do not come into power by miracles we elect them whether knowingly or unknowingly...
Its may be difficult to plan to remove the whole system or the political party deeply rooted to the people, but we can aim at changing the people...
Hivi ndivyo inatakiwa iwe, we must dare not onl to talk but also to take actions and necessary actions,
watu wakipata tukio hukimbilia kujaza threads tu hapa kwenye jf na kuleta wakati wingine hata majungu na umbea lakini hamna hatasiku moja mtu akatoa wazo la kuchukua hatua, tujifunze kwa mama...
Nimekuwa nikijiuliza maswali mengi kidogo kuhusu raisi wangu mh.jk kuhusu hotuba yake kupitia kwa wazee wa dsm.
1. Je ilikuwa ni sehemu muafaka kutuma ujumbe kupitia kwa wazee?
2. Je lugha ya vitisho na kebehi aliyotumia mbele ya wazee wake ilikuwa sahii?
Lengo la hotuba yake ilikuwa...
Tatizo kubwa ni hili OMBWE LA UONGOZI....tunahitaji viongozi wazalendo na wenye ujasiri wa kusimamia rasilimali zetu kwa maendeleo ya taifa letu na vizazi vyetu vijavyo....hata mabadiliko ndani ya CCM yanawezekana, sio wote ni mafisadi au hawana uzalendo,ila wachache wenye nguvu ndio...
Mzee huyu mtu atakuwa amekukera sana, lakini hizo ndio tabia za viongozi wetu wengi tulionao hapa nchini, Tutumie nafasi zetu kuleta mabadiliko ikiwa ni pamoja na kubadilisha viongozi waliokuwepo....
mimi nadhani tuhuma nyingi zinatokana na ushauri mbaya wa wasaidizi au washauri wake au labda Mh.huwa hashauriki, raisi mara nyingi hatakiwi afanye vitu kwa utashi wake, japo anaouwezo ksheria wa kufanya hivyo lakini kwa usalama wa taifa lazima asikilize washauri wake...
nazani Zito anatakiwa ajue kwamba pamoja na kuumwa kwake na kujisikia vibaya kitendo cha kutangazia wananchi unaenda Germany kwa check up ya afya lakini akisisitiza ni fatigue inaleta maswali mengi na anajenga taswira mbaya kwenye jamii, hata Mheshimiwa raisi alipoanguka hakupelekwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.