Ndugulile anaumwa nini. Mimi ninachojua ni mwanaume mwanaharakati asiyejua anachopigania. Kule kwao Kigamboni kuna mipango ya hovyo sana ya mji huo. Mara wanataka kutengeneza eneo la gereji, mara mji wa Kisasa, mara kila kitu gani sijui.... Lakini hakuna kinachokamilika. Leo kapewa TEHAMA kila...
Kwa hiyo kati yetu nani huwa anakupa ya kwenda beach? Na ni yupi anayekugea ya kusuka? Je, nani anakumega zaidi kuliko wengine? Na nani anayemwaga nyingi sana? Nani unayempa ndogo? Na nani ambaye ukimlilia anatema wazungu?
Endelea tu kushangilia hapa lakini kuna siku jambo moja kati ya mawili yatatokea.
Siku ambayo watakuwa wameshiba na mnaowalea mkawa hampo wataua karibu watu wote wa karibu na hasa watoto.
Siku hawakushiba wataanza na nyie walezi kuwafanya kitoweo kisha kisanga kitahamia kitaa.
Nawajua sana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.