Huyu Bw. bado yupo PPF pamoja na ubadhirifu alioufanya. Mkataba wake uliisha mwaka jana, kakauka kimya akipeta ndani ya mkataba wa tatu bila ridhaa ya Rais
Aliyesema hivi na Ahmed Jongo. Jacob Tesha na mprira hawakuwa karibu, ila akisoma taarifa ya habari, ilikuwa saaaafi saana!!!! Nilikuwa namfurahia Ben Kiko hasa wakati wa vita na Uganda ya Idi Amini
Tulipowaambia kuwa PPF pesa imeliwa na wakurugenzi mliona ni utani mkakaa kimya. Sasa ni mmoja mmoja kukiona cha moto kusubiri 2 years. Wakurugenzi wa PPF akiwemo na Mkurugenzi Mkuu wa sasa (2005 to date) walilipwa ndani ya masaa 8 Tshs 220,000,000 kwa kila mkurugenzi na Tshs 540,000,000...
Acha uongo wewe, mita sita au futi sita? Labda kama ni chatu. Na kama chatu basi huyo nyau lazima aingie kwenye kitabu cha Guiness akisindikizwa na mafuta ya taa
Jakaya Mrisho Kikwete naye ni binadamu kama ulivyo wewe na mimi, hivyo anastahili kuheshimiwa. Pamoja na dhihaka tufanyavyo dhidi yake tuwe na mipaka. Pale Ubungo yeye na Obama wamecheza mpira ule kwa kupigiana pasi nzuri tu. JK alionyesha kuujua mpira. Aliyeweka picha aweke pia picha za JK...
Deaths from malaria have..has declined by over 50%, infant mortality rates have declined, HIV infections have declined. Through PMTCT (Prevention of Mother to Child Transmission) more children born by HIV infected mothers...
Kweli umaskini na kukosa ajira ni hatari kuliko hata bomu la Hiloshima. Hivi ni wewe kweli? Uliyekuwa unawatukana CCM kuwa ni majambazi lakini leo uko nao kama kupe kwenye ng'ombe!! CCM uliwaita MAJAMBAZI, leo uko kwao, tukikuita na na wewe kama Dada JAMBAZI tutakuwa tunakuonea? Maana uka na...
Unataka kuoa MFU!
Kiapo cha ndoa ni hadi kifo kiwatenganishe. sasa huyu katenganishwa na mmewe, hii ina maanisha either yeye au huyo mumewe au wote wamekufa. Angalia huyo ni either mfu au mjane.
Mwombe Mungu akupe MKE sio mjane au mfu. Je shetani anayemsingizia kesha kufa? muulizie may be...
Mbeya! Mbeya! Mmekosa nini?
1. Mwakyembe
2. Mwangosi,
3. Ulimboka,
4. Kibanda,
5. ...........
6. .......... to mention few,
Mungu nusuru watu wako toka mbeya maana hatujui baada ya Kibanda nani atafuata. Mungu wapige upofu wote wanaofanya mabaya haya. na kama kuna anayejiandaa, Mungu...
Hivi haogopi kuendelea kujitetea? Angalia sehemu ya CV yake inavyojichanganya:
Kazaliwa January 1972, darasa la kwanza 1982 yaani miaka 10!!! Dalili ya kwanza ya uongo. Kwanini hakuanza na 7 au 8?
Darasa la kwanza 1982 na kumaliza la saba 1989 ni miaka 8, kama si uongo basi alirudishwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.