Kuna Usemi maarufu pale mtu anapokosea jambo au kwenda kinyume wazee wa zamani walikuwa wanamwambia kusoma hujui hata picha huoni.. Well kwa kuwa ni ngumu kwako kuelewa kwa maandishi yangu basi nitakutumia baadhi ya picha na uthibitisho na hii itakuwa ni ya mwisho katika kuwaaminisha kuwa mambo...
Habari nakukaribisha katika Group ya Rakims Spiritual ambayo itakuwa inahusika na maswali na majibu.
Nidhani ni jambo kuu la kwanza katika group hiyo na muhimu zaidi ni kujitahidi kuuliza maswali ambayo yamejaa hekima na msaada kwa wengine na kujaribu kuwaelewesha wengine vile ulivyoelewa...
Habari nakukaribisha katika Group ya Rakims Spiritual ambayo itakuwa inahusika na maswali na majibu.
Nidhani ni jambo kuu la kwanza katika group hiyo na muhimu zaidi ni kujitahidi kuuliza maswali ambayo yamejaa hekima na msaada kwa wengine na kujaribu kuwaelewesha wengine vile ulivyoelewa...
Ukiona hivyo jua una nyota ya simba yenye rising sign ya mashuke ni kawaida na sio sababu ya mtu kutumia nyota zote..
Hivyo kuwa na tabia za nyota ya mashuke si maana kwamba wewe ni mashuke
Rakims
Ndio kwa maana nyota zote hizi ni katika makundi nyota ya sun signs hivyo nyota ya kwanza iliyo pamoja na Jua ni Simba. Na hii kuifanya yenyewe kuwa ni nyota tawala kwa vile tu ipo chini ya sayari (Nyota) tawala
Rakims
Kila moja ina nguvu zaidi kuliko zingine hiyo ni kutegemea na nguvu ya namna gani unayozungumzia...
Mfano utawala ni Simba
Pesa ni Ng'ombe
Vita ni Punda
N.k
Rakims
Habari mkuu,
Kama kuna moja ya watu huwa nawaona kwa kiasi fulani wana uelewa mpana humu jamii forum. Wewe pia ulikuwa mmoja wapo lakini kwa hii Quote nilipoweka mstari Mwekundu unaanza kunitia shaka mkuu.
Wewe sio mtu ambaye unaweza kuQuote kitu easily until upate uelewa wake zaidi sasa hapa...
Ni kweli atatupikia wali na kuleta kwenye sahani na kututengea kisha tukala na kushiba...
Ifikie sehemu Mwenyezi Mungu Aombwe funguo za akili zilizolala na kufungwa na mashetani walaghai wenye kujaza ujinga..
Pole na Mungu akunusuru
Rakims
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.