Kuna mdogo wang amechaguliwa katika iko chuo mapema tu tena katika batch ya kwanza lakni cha kushangaza mpaka leo hakuna dalili ya kupatikana izo form.
Kama kuna mtu alisoma katika iko chuo au anayo ata kuifaham fomu ya kujiunga kwenye iko chuo naomba tafadhali.
Nitashukuru kama nitasaidiwa kwa...
Majina ya wanafunz waliofanikiwa kuchaguliwa university of Iringa yametolewa.
Kuona majina, bonyeza hapa
Nawasilisha
Vile vile wanafunz mnaweza kujadili mambo mbali mbali kuhusu chuo hapa hapa.
Kama maswala ya hostel, Ada, accommodation nk......
Wana jf,
Naomba msaada wenu kuna vipengele ambavyo mwenyekit wa mtaa hakuvikata hata katibu wake lakn wote wamesain.
Ukizingatia form nmeshaituma baada ya kuangalia copy yake ndio nmeligundua hilo.
Msaada wenu please apo inakuaje ?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.