Jamani nimeandika kitabu cha simulizi ya riwaya kiitwacho KINA CHA HAKI "Shinikizo" lakini nimeshindwa kupata namna ya kukifikisha kwa hadhira husika. Nikiwa na maana kuwa bado hakijachapwa lakini uandishi wake umekamilika kwa asilimia 100. Kinachonikwamisha hapa ni mtaji kwa maana ya gharama za...
Hello wanajamii! Naombeni kufahamishwa kuhusiana na taratibu na kanuni za kisheria za kuagiza gari nje ya nchi. Hii ni pamoja na jinsi ya kulitoa bandarini lini na ushuru unaotakikana kisha TRA hadi ninapo kuwa mmiliki halali.
Ni nafisi ya kujivunia kwa wasaa huu wa kubadilishana hulka na kujenga mshikamano thabiti. awali ya yote heshima kwenu nyinyi wana jamii. panapomajariwa tutalisongesha gurudumu hili kwa umoja. asanteni kwa kunialika . good time!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.