Pumzika kwa amani. Ulisingiziwa mengi sana ili usipate uraisi. Nyumba zote zilizokuwa zinajengwa zilikuwa za fisadi Lowasa. Hata kama umeondoka, Mungu akulipie kisasi😢
Poleni wafiwa na wote mlioguswa na msiba huu. Lakin nadhani haikuwa busara kwa kumwachà bibi harusi mtarajiwa kuendesha gari safari ndefu namna hiyo; kwanza alikuwa hyper excited kwa ajili ya arusi na mchecheto wa arusi. Haikuwa busara kabisa kumpa usukani. Apumzike kwa amani. Pole bwana arusi...
hata mimi yamenikuta hayo. kuna vipesa kidogo kwenye akaunti lakin naambiwa kiasi kilichopo ni Zero! Nimeenda leo tawini wamesema nisubiri majibu kesho. Hii benki nadhani iliondoka na Hon Kimei. Ubabaishaji mwingi sana! Kwanza ni kinyume kabisa na taratibu kunisababisha nisiweze kutumia akaunti...
Tuilaani Israel wakati wapalestina wameshikilia watoto wetu? Ni damu yetu hao wawarudishe salama! Mungu awalinde na kuwarudisha salama watoto wa tumbo la mama Tanganyika 😢
Pole sana mnyakyusa wa IPinda. Tafuta kiungo fulani kinaitwa Star Anise, kinapatikana kwenye maduka ya dawa asilia au sokoni kwenye eneo wanakouza viungo vya chakula. Saga kwenye blender ya vitu vikavu, tumia kijiko kimoja cha chai level kwenye chai ya rangi au uji au juisi. Ukiwa na asali ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.