hahaa usijihangaishe sina roho yoyote inayonitesa,FAB is just FAB.....sina ishu na bikira yako hata ukiamua ukae bikira for the rest of your life,ila unatuchosha unavyotaka attention with it.........for heaven sake,kila mtu alikuwa nayo!........malesbian na waliwa tigo sidhani kama kuna mtu humu...
hakuna tofauti na unavyofanya na bikira yako,yote ni kutafuta ATTENTION na sie nyie attention seekers mnatuchosha!!!!...barikiwa na wewe pia unapoendelea kujitambua!! ...sipendi kabisa mtu anayetafuta attention kinguvu iwe kwa mazuri au mabaya....nimekwambia waaaaazi kuwa bikira ni kitu cha...
mie hayo ma US na UK...huwa yananiboa kweli kuingilia affairs za nchi nyengine na maguvu yao,mpk leo Iraq inajikongoja kwa sababu ya upuuzi wao na ukiangalia kulikuwa hamna sababu....:hatari:
huyu wema anahitaji muongozo,wanaume wote hao? and she just turned 20????bibie utaichakaza hio nahino yakoooo halafu ukose wa kukuoa-anyway,uko kny foolish age hatukushangai sana naamini utatulia tu within next few years....angalia usije ukajutia kipindi hiki....:smash:
aliyefilisika nani?? mie au wewe unayevuvuzela na bikira yako kuanzia signature mpk kny posting? bibie tulia kila mtu aliwahi kuwa nayo!!!,once itakapotoka ndio utajua ilivyo insgnificant na sio kitu cha kutunyimia usingizi humu!!!
hii dawa sidhani inatibu,watu wako desperate,they want to believe somewhere outhere kuna cure ya matatizoyao,this sense of desperation is really bad wakija kutoka kny hio denial na kuface bitter truth....hapo ndio itakapokuwa painful experience.....serikali nayo inaonekana kubariki huu upuuzi...
Mi ni msichana mrembo sana mwenye umri wa miaka 26, figure namba 8, maji ya kunde na ni bikira. Sijawahi kuingiliwa na mwanaume awaye yote maungoni mwangu. Nimeyashinda majarinbu yote haya ya maisha ya leo kwa sababu ya nguvu zitokazo katika neno la msalaba. Signature yangu inasema kuwa mwili...
yeah,i was right wewe ndio waleeeeee.....mliocheza ligi za mchangani hata humu mtandaoni mnaona sifa saana kuanzisha ligi zisizo na kichwa wala miguu CHUKUA TIME HUKO,kati yangu mie na wewe limbukeni anajulikana wazi ni nani......and this is my last post kukujibu,andika unalojisikia kuandika ila...
Damu ya watu wasio na hatia itakulilia kikwete mpaka kaburini kwako,na wala sio tu walipoteza maisha kny vurugu za arusha bali pia wale wanaopoteza maisha hospitalini kila siku kwa huduma mbovu kutokana na uzembe wako na kukumbatia mafisadi.
mnh ina maana mama alimwambia mwanaye kuhusu baba???mtoto alijuaje pa kuanzia ni lugalo??
kama ni mazingira hata huko shule pia yangeweza kutrigger huo mtindio...
mind ni kitu complex,huwezi ukasema for definite kuwa ishu ya babayake ndio actually iliyocause huo mtindio.....
na ishu za...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.