Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.Jakaya Kikwete alipowasili eneo la msiba nyumbani kwa marehemu mzee Gabriel Ndugulile Ferry Kigamboni Jijini Dar es salaam kutoa pole kwa familia kwa msiba huo.
Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.Jakaya Kikwete alipowasili...
Waziri Mkuu Majaliwa amesema Serikali imetoa Tsh. Bil 20 kulipa madeni ya wakulima, Wasafirishaji, wapuliziaji dawa na waendesha maghala ya korosho“JPM ametoa hizi fedha kwa ajili ya Tandahimba, Masasi, Mtwara & Kibiti kwa waliolipwa nusu, kiasi na wasiolipwa, zitaanza kulipwa kesho”
-----...
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof Joyce Ndalichako ametaka busara itumike kati ya wazazi na bodi za shule kuhusu suala la ulipaji wa ada na malimbikizo ya ada za muhula uliopita kwani janga la Corona limeathiri watu wengi
Mbunge wa Jimbo la Kilwa Kusini Mhe.Selemani Bungara (Bwege) ametangaza kukihama chama Cha Wananchi Cuf na kuhamia chama cha ACT Wazalendo azalendo mara baada ya bunge kuvunjwa hapo kesho.
---
Ifahamike kuwa, nimeitumikia nafasi ya uwakilishi wa wananchi kwa maana ya ubunge wa Kilwa Kusini...
Aliyekuwa Mwenyekiti wa ACT Wazalendo Yeremia Kulwa Maganja, ametangaza kujivua uanachama wa chama hicho, kwa kile alichodai haungi mkono baadhi ya mambo ndani ya chama.
Diwani kwa kata ya Ndato wilaya ya Rungwe kupitia CHADEMA yupo ndani toka mwaka jana Novemba kwa sababu za kisiasa na amenyimwa dhamana miezi 4 sasa, wananchi wameamua kwenda kwenye mashamba yake na kumpandia viazi (Mviringo) na kupiga dawa kwa kulitunza wamedai watayatunza mashamba yake yote...
#COVID-19
Madaktari toka nchini Cuba wakiwasili Italia kusaidia harakati za kupambana na COVID-19. Maelfu ya watu wamepoteza maisha nchini Italia na mfumo wa afya nchini humo tayari umeelemewa na idadi ya wagonjwa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kazi ya Polisi ni kulinda mali na usalama wa raia. Raia zaidi ya 20+ wamepoteza uhai. Wapo watu tunaowalipa kwa ajili ya kazi hiyo kiongozi bado upo tu. Polisi mumekaza zaidi kwenye uhujumu na kamatakama bodaboda + kila gari linalopita kusimamisha. Na kuzuia mikutano ya siasa ila haya hakuna...
Wanayofanya Ndungai na watu wake, tuliowengi hatufurahishwi.
Kila bunge Ndungai na visa visa tu tena vya kukomoa ifikie tuseme basi inatosha kwa sauti mmoja.
Sent using Jamii Forums mobile app
Azabu tunayopata wafanyabiashara ndogondogo
Leo hakuna Lori linakubali kupakia pasel eti kuna tra wana dai mashine
Samaki zinaoza
Mazao yanadoda
Vifaa dukani tunauza hakuna..
Kisa ...........,..,
Mimi mwanakijiji wa kata ya Chihangu Mpakani kabsa na Kijiji cha chilangalanga.
Serekali kutumia Jeshi la wananchi wanachukua korosho zetu .
Hakika kama wangetumia magari ya umma sasa kingewaka ,
Mpaka sasa hatujatibua mashamba
Mpaka sasa hatuna mukari wakupanda mikorosho mipya
Mpaka sasa...
Na watu wa Mautanga kata ya Likonyowele Liwale mjini kwa nke wangu, Tunaiomba tume ya Uchaguzi pesa zetu za Uchaguzi zipelekwe Ukerewe kama Ubani wetu wa boreshe kivuko chao.
Itumike garama kidgo kumuapisha Mbunge atakaye wapendeza nyie tume.Sisi iiii atuna kinyongo Bora uhai
Shule zipi bora kwa Mzazi wa kipato cha chini nawa kipato cha kati kwa mandalizi ya mwakani au wewe umempeleka wapi kijana wako.
Kwasababu zipi tupeane uzeefu.
Kwahili la Kimara hamtendei haki watu wa Kimara.
Ombi limulikieni macho watanzani wajue tabu tunayopata sauti yenu ni tiba
Wakina Lisu, Mbowe, Zito, Nape na kina Makamba wote hawa wamefungwa mdomo .
Sasa nyie ndio risasi ya mwisho kwa kilio hichi.
Sent using Jamii Forums mobile app
SIMU KUTOKA TIGO
ngrrriiiiiii!!!!!!!!! NGriiiiIIIIII!
TIGO; mimi ni -----naongea kutoka Tigo tunaongea na?
MIMI; nakusikiliza
TIGO;umewahi kutumiwa ujumbe wowote juu ya TIGO BIMA?
MIMI; ndio lakini sikushughulika nao
TIGO; nataka nikufahamishe kuhusu TIGOBIMA
MIMI; nam eleza...
Ukawa Tunapanda kwa Kasi
Walianza na 72% kwa 22% ikaja 69% kwa 31% zikaongezeka 59% kwa 39
Matokeo ya sasa yanasema ni 56% kwa 41% kuna mmoja anapanda, mmoja anashuka.
Tofauti ya kura Tazama Picha
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.