U
Unamwazo ya kijinga kweli! Stahiki zao zinatokana na helaza ccm aubwalipa kodi wa Tanzania ambao hawana vyama na pia hiyo ni haki yao kikatiba.Siyo vizuri kuongea ujinga humu watu,mimi nimekudharau kabisa
Dalili za kutangulia mbele ya haki! Ukianza kutabilia wenzako magonjwa ama kuona kama watakufa karibuni kama unavyofanya angalia sana! Hasa huyo jamaa Lowassa,sasa watu wataandika historia fupi ya Maisha yako!
Kabla ya kuwa mkuu wa jkt Mwamnyange alikuwa mkuunwa idara ya intelligensia kama Mabeyo,Mkapa akameua kwenda jkt, kikwete akampandisha kuwa cheif of staff baada lt genaral Idd Gahu,baada ya hapo akamteua kuwa Mkuu wa Majeshi! Kwahiyo si kweli kwamba hakuwahi kuwa Chief of staff. Na kwa taarifa...
Hakuna Tanzania ila Burundi,Rwanda,Uganda na Kenya ndiyo zipo,hebu kawaulize unachotaka! Hapa huwezi jibiwa maana hatunaga mambo hapa Watanzania! Kwani waliokutuma wamesema hapa utapata habari kama wapo? Lakini ushauri mwingine kaulize pale makao makuu ya jeshi upanga aua hata pale lugalo...
Kwahiyo huyo jamaa ndiyo analonda gari yako! Mawazo mepesi sana! Jibu hoja ya mtoa mada! Mimi huyo jamaa mimekatalia mara mbili tena ya pili ni leo! Yaani mtu anaenda kununua mihogo,jamaa anaibuka na kimashine chake anataka elfu moja,kaja kunidai leo nikamkatalia akaniambia ni utaratibu...
Post ya hovyo kabisa,
Post ya hovyo kabisa,nimeona nikadhani ni wengi tena wapwndelewa,kumbe ni mmoja tena hatujui hata kama watoto wa ndalichako wanatumia ubini wa mama yao wala siyo wa baba yao kama ilivyokawaida! Huu ni ukulupukaji wa hali ya juu sana
Jamani nachukizwa sana na message za vodacom,natumiwa message za bahati nasibu,message ingiingia nadhani ni jambo la muhimu,nakuta sms eti number yangu imechaguliwa kushinda,I am not interested mnaniletea usumbufu! Watumieni wanaotaka au wanaocheza hizo bahati nasibu zenu! Naamini huwa mnapita...
Unajua unacho kiunga mkono? Yaani uwape wageni watengeneze mfumo nyeti kama huo! Ili baadae wakudukue? basi kama sisi watz hatuwezi kitu basi tuombe na viongozi wote watke huko na hata wewe kumbe unaina hufai ila warwanda ndiyo wanafaa!
Teuzi zote za sasa zimeegemea sehemu moja ya Nchi,kanda ya ziwa kuna sehemu naona hakuna wataalamu wanaoweza kuongoza ktk nyadhifa hizo! Kama mambo yenyewe ndiyo hayo bora kuwe ma mpokezano wa kila kanda kwenyr uongozi wa nchj
Mawazo duni kabisa,kwahiyo ka jana angeacha watu wandelee kutuibia na kupita tu airport? Usitake kujjfanya unauchungu sana na sisi masikini,Magufuri yuko sahihi,mbona kazi tunafanya na wala hatuogopi hapa kuwajibika basi!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.