Nimekuwa mhanga wa Dengue ila kila mara nimelazimika kupima malaria na FBP damu ya mshipa na mkojo kwa nyataki tofauti nimeambiwa sina malaria ila kinachonishangaza ni muda unaotumika kuchukua sample na kupima ni mfupi sana, kwa kesi yangu haikumaliza hata dk 10 nimepewa majibu kuwa sina...
Hawa jamaa wanchoringia ni hizo kodi zetu tukateni huu mrija wa kodi kwa kususia bidhaa na huduma zisizo za lazima kwa mwezi mmoja.Kupambana nao kwa njia ya maandamano na kupamvana na dola hatutafanikiwa lazima wananchi tuache kulalamika na viongozi na wanaharakati wahimizeni watu kususia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.