We jamaa una akili sana. Kiukweli wabongo kenye elimu ya masoko ya fedha tulilala kupiliza. Lakini angalau saizi tumeanza kuamka. Ndo maana ukiangalia hata huko kwenye Tbond mambo ni fire. Ushindani kama wote yani. Mm niwasihi Watanzania wenzangu tuamke! tuamke! Ni kweli tuliowengi vipato vyetu...
Kwa mtazamo wangu mama yako si kwamba hakupendi/hakukupenda kama unavyodai. Kitendo cha kukuhost miezi 9 na kuruhusu kwa nguvu za Mungu utoke ukiwa hai na kukulea kwa kiasi alichoweza ni upendo tosha. Baadhi ya mambo aliyokufanyia ukiwa mkubwa. Ilikuwa ni kwa nia njema tuu ya kukukomaza. Mm...
Nimefanya upekuzi wa mazingira ya kondoa mpaka kiwandani . Ni hivi kwa sasa wakulima wamepata hela ya mbaazikwahiyo mbuzi wana bei kidogo . Kwa mujibu wa ushauri wa mwenyeji wangu alishauri nianze mwezi wa 11. Hata hivyo tar 15 Oct naanza mdogo mdogo. Kiwandani soko lipo wazi kabisa na bei ni...
Mkuu soma vizuri uzi wa mdau utamuelewa. Watanzia tupo makundi mengi sana. Kuna watu ambao wapo vibaruani hata huo muda wa kupambana na hizo mbiringe za biashara huenda wasiwe nao lkn kuliko kusema wewe ni mwendo wa kupata kisha unapukutisha kila kitu sio sawa unaweza anza kuweka kidogo kidogo...
Nataka fanya utafiti nikijiridhisha nianze mchakato japo kwa udogo wake. Nataka ikibidi niwapigie simu nione kama bado wananunua na terms zao zipoje? Nitakapowasikia na nikajiridhisha na mchakato basi niende kondoa machakani huko nako nikajifunze. Wadau mm ni msakatonge tuu nipo morogoro mjini...
Binafsi huwa nafanya kazi kulingana na ninacholipwa. Waajiri wengi wakuda sana unampimia kazi yake. Muda uliosalia natumia miundombinu yake kutekeleza mambo yangu. Over!
Hapo Kuna mambo mengi ya kuchunguza mkuu. Kikubwa lazima ijulikane kwanini huyo polisi alifikia hatua hiyo. Nadhani hata hapa kwetu ni mara kadhaa polisi wamechapa watu lisasi. Lkn huwezi mtia askari matatani bila kujua kwanini alifikia uamuzi huo. Sema ni kwakuwa ss hatuna mqmbo ya weusi na...
Mkuu tatizo ni zoom au mtihani wanaoleta content haitoshi? Kwa uzoefu wangu oral exams ni ngumu kuliko written exams. Km content ipo poa mwanafunzi atakae toboa hapa atakuwa bora sana. Maana hairuhusu Vibomu hii.
Hapa ss ndo changamoto ilipo. Niongope ili iweje. Usiwe na stress ndgu kuwa tayari kupokea changamoto. Ukiona inafaa zitumie km vp unapotezea tuu. Lkn mwarobaini wa maisha yako unao mwenyewe.
Kiukweli haya maisha hayana formula kihivyo. Unaweza ukaajiriwa na ukatumia ajira yako kupiga mpunga. Mfano mzuri ni mm mwenyewe ajira yangu ina mshahara usiozidi laki 8 kama basic salalary baada ya makato na kimkopo nachukua kama 355,000/= hivi. Lakini huwezi amini kuna namna naitumia...
Mkuu binafsi naona pengine waweza kuwa sawa kwa kiasi japo kwa kiasi kikubwa waweza usiwe sawa.Binafsi naona hakuna ajira ambayo imelenga kukutajirisha wewe.uzuri wa ajira na ubaya wake ni vile wewe unavyoichukulia.binafsi huwa napenda kuichukulia ajira kama mbegu. Mbegu huwa haipaswi kuliwa...
Haina haja kuacha chuo jamaa yangu.sema naye mheshimiwa sijui kauli yake kaitoaje.cha kufanya kukuruka na vishughuli/vijibiashara hata kama ni vidogovidogo ukiwa hapo hapo chuoni.tumia mkusanyiko wa jumuiya ya hao wanachuo wenzako kama soko lako na fursa kwako.
Mm sijui upo chuo gani na...
Gilbsonassan nakushauri andika kwa kirefu mchanganuo wa wazo lako hilo la biashara yako ili wadau waone kama ni wazo endelevu au la.hii yaweza saidia kujua hatua zipi wadau wachukue dhidi ya uhitaji wako.
Kwa maoni yangu naona mtoa maada yupo sawa kutafuta taarifa/maarifa ya biashara yake kabla hata hajapata hiyo hela.binafafsi huwa naona muda muafaka wa kufanya tafiti ya fursa ni kipindi ukiwa huna kitu ili usijeishia kufanya kitu kwa mchecheto.lakini ukiwa huna kitu utakuwa na muda zaidi wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.