WAKUU,
Inasikitisha, nani katika dunia hii hazini au hajawahi kuzini. jambo hili linatakiwa lifungwe, haifai kuedelezwa, kwa sababu hakuna jipya. Kinachopaswa kupangaliwa na kupewa umuhimu ni nani yuko makini na uhai na uedelevu wa nchi yetu, badala ya nani anazini au
la. This is immaterial...
Ninachoelewa mimi ni kwamba having a PhD kutoka kwenye chuo ambacho ni accredited, ni utambulisho tosha kuwa umebobea katika fani uliyosomea, it doesn't matter from which university. Performance is a relative variable.
Mambo haya ni very complicated. Ilianzanzeeje mchezo ukafikia hapo bila vk kushtuka na kukataa uhusiano wa namna hiyo. Usimguse dude kwani hana kosa, waambie shoga zako wazi mambo yanayofanyika, unless huyo bwana ana sifa za ziada kwako. Kunyamza kimya ni kumlinda.
Justice is always questionable unless it is proved beyond reasonable doubt. A lady can spend a shilling where a man would be two. Women are always clever than men, whether you like it or not.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.