Kunaweza kukawa na sababu nyingi lakini sababu moja kubwa ni hii ,
Mithali 10:27 SRUV
Kumcha BWANA kwaongeza siku za mtu; Bali miaka yao wasio haki itapunguzwa .
Kutokana na kupungua au kutoweka hofu ya Mungu , siku hizi dhambi za kila namna zimekuwa ndio mtindo wa maisha. Watu...
Nimegundua kuwa Feza primary iliyoko Kawe na Feza Shamsiye kule Mbweni zote hazina mambo ya remedial wala kulazimisha wazazi standard 4 & 7 kukaa boarding na shuleni wanatoka saa nane kasorobo mchana lakini wao ndio wanafaulu kwa viwango vya juu kuliko hizi shule za remedial zinazokaririsha...
Wadau,
Moja kati ya kero yangu kubwa kwenye hizi english medium ni huu mfumo wa kulazimisha watoto wa Standard 4 na 7 kufanya remedial kwa lazima , hata pale ambapo hakuna ulazima huo. Najua shule zinafanya biashara lakini si kwa kuwapa watoto stress zisizo na lazima . Watoto mwaka mzima...
Wadau,
Ukiondoa Maktaba Kuu ya Taifa, naomba kujuzwa kama kuna maktaba yeyote nyingine ambayo mtu yeyote anaweza akaenda kujisomea.
Naomba kama unajua jina, location, utaratibu, gharama ya maktaba na uwepo wa huduma za ziada kama umeme, internet, nk, katika maktaba hiyo au hizo pia...
Wasalaam wadau,
Natafuta, screen replacement ya ULEFONE Note 11p ( Ulefone Note 11P - Full phone specifications) , hii ni baada ya kioo kilicopo kuacha kufanya kazi baada ya simu kuanguka. Naomba msaada kama kuna mtu mwye hiki kioo au anafahamu kwa uhakika mahali ambapo naweza kupata kwa...
Wasalaam,
Moja kati ya changamoto ambayo imekuwa ikinisumbua sana ni changamoto ya mbu nyumbani kwangu, ingawa kwa sehemu kubwa hili ni tatizo la maeneo mengi ya hapa Dar.
Nimekuwa nikijaribu kutafiti njia mbalimbali za kuondokana na mbu lakini mpaka sasa sijapata ufumbuzi wa kudumu...
Wadau,
Bado naendelea kutafuta shule za namna hii, kama kuna mtu yeyoye anaweza akawa anajua shule za namna hii tafadhali , naomba nijulishe.
Asante sana
Wadau,
Kwa wenye ufahamu naomba kujua ikiwa nataka kusafiri na line ya simu (sim card), nifanyeje ili niweze kukaa nayo nje ya nchi kwa muda mrefu bila kufungiwa.
Natanguliza shukrani
Ndugu Amalrik TZ ,
Pole kwa hali hiyo , ili uweze kuishinda hali hii unahitaji kweli kuwa serious, kama uko serious nakushauri soma hivyo vipeperushi viwili , kimoja kina maelezo ya watu kama wewe waliokuwa na changamoto hii na wakapata msaada ambao uliwawezesha kutoka jumla katika utumwa...
Wadau,
Kutokana na hali halisi ya vifurushi kwa sasa kuwa haieleweki , naomba tufahamishane kwa wale wanaojua njia mbalimbali mbadala za kuendelea kuwa mtandaoni bila gharama , kwa mfano wifi hotspots ambazo mtu anaweza kwenda kukaa na kutumia internet bure , hii inaweza ikawa katika public...
Wadau,
Kwa unyenyekevu naomba kufahamishwa kwa mtu yeyote anayejua shule yoyote ya msingi ya Kikristo iliyoko katika maeneo ya Goba, Mbezi au Madale, Kunduchi, au Mbezi Beach. Kama unafahamu shule ya namna hii iliyoko eneo lolote jingine Dar es Salaam. Naomba pia kufahamishwa ingawa kipaumbele...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.