Mhe. Profesa Muhongo amewahi kusema kwamba Watanzania ni wavivu wa kufikiri, wavivu wa kusoma na washamba sana katika masuala ya uwekezaji na kwamba uwezo walionao Watanzania ni kuuza juisi au soda.
Mheshimiwa popote pale ulipo, Mungu anakuona na atakuhukumu kwa matusi yako kwa wa Tanzania!. .
Hebu fikiria khs msumari , Msumari hugongwa sna kabla ya kutoboa na kuzama ndani ya kitu, ndio Jinsi maisha ya Kijasiriamali jinsi yalivyokuwa.
So kbla ya kutoboa jiandae kugongwa sana !. Ila Kuwa imara tu km Msumari hatimae utatoboa!.
Salaam, wakuu.
Ninahitaji fundi wa printer (copier machine), aina ya konica minolta bizhub,na xerox work force
nipo dar es salaam, nicheki kwa 0762 490 080.
Asanteni.
Salaam, wakuu.
Ninahitaji fundi wa printer (copier machine), aina ya konica minolta bizhub,na xerox work force
nipo dar es salaam, nicheki kwa 0762 490 080.
Asanteni.
MWENYEKITI Mtendaji wa IPP, Dk. Reginald Mengi, ametunukiwa tuzo ya dunia ya uongozi kutokana na mchango wake kwa jamii katika jitihada za kuondoa umaskini na kusaidia makundi mbalimbali ya wasiojiweza.
source: Mengi atunukiwa tuzo za kimataifa za kusaidia jamii
WHAT IS A CONTINUOUS INK SUPPLY SYSTEM?.
A continuous ink system (CIS), also known as a continuous ink supply system (CISS), a continuous flow system (CFS), an automatic ink refill system (AIRS), a bulk feed ink system, or an off-axis ink delivery system is a method for delivering a large and...
Wadau wana jf wenzangu.
Ninahitaji radio call za kununua .please kwa mwenye kufahamu mahala zinapouzwa hapa dar anijulishe kwa kupitia hapa jamvini au kwa simu no . 0712 926 823
asante.
Wakuu salaam.
Nina wazo la kuanzisha kampuni ya tours hapa dar, lakini sijui utaratibu mzima wa jinsi ya kuanzisha kampuni ya aina hiyo.
Wala sina mtu wa karibu mwenye uzoefu wa kutosha katika sekta hiyo.
Ombi langu: Ninaomba kufahamisha utaratibu wa jinsi ya kusaji, uendeshaji, masoka na...
Ninahitaji Accounting Drivers, kwa ajiri ya kunisaidia katika kuuza bidhaa, kuhifadhi kumbukumbu za bidhaa zilizoko stoo, na kuchanganua mtiririko wa mahesabu ya biashara kwa ujumla.
Napenda software hii iwe na vitu vitatu vifuatavyo:
FRONT OFFICE ( FOR SALES MANAGING)
BACK OFFICE (FOR STOCK...
Ninahitaji vijana wawili kwa ajiri ya kazi zifuatazo;
Kufanya usafiri katika eneo la kazi.
Kusimamia utoaji na uingizaji wa bidhaa katika ghara.
Kufunga mizigo ya wateja.
Kupanga bidhaa katika ghara.
Sifa za muombaji.
Awe mwaminifu.
Awe mchapa kazi.
Awe na elimu ya darasa la saba au kidato cha...
Kuna suala la deni la ndani la marekeni, hivi karibuni limekuwa likiongerewa sana ktk vyombo vya habari hasa vya inje ya inchi. Eti marekani inakabiriwa na deni kubwa sana eti km hatua muhimu hazitachukuliwa ndani ya muda mufupi itatangaza kufilisika kabisa!.
Sasa ndg zangu wana jf hebu tupeni...
Wafanyabiashara wasaidiwe
Friday, 06 May 2011 20:36
Happy Lazaro,
Arusha
SERIKALI imeshauriwa kuweka utaratibu maalumu ili kuwasaidia wadau mbalimbali wa biashara wanaotaka kuanzisha biashara zao kuwa na mahali maalumu pa kupata muongozo wa jinsi ya kuanzisha biashara.
Kukosekana kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.